After I Decide To Wake Up At 5:30AM Everyday

After I Decide To Wake Up At 5:30AM Everyday

Now ni saa 05:42Am, today sijaset alarm yeyote ila mwishi ushazoea. Ubongo wangu mda huu umetulia, I'm confident, sifanyi vitu kwa kuharakisha kana kwamba nimechelewa na mengineyo. Ni hayo tu wakuu, jaribuni hii challenge.
 
Tunaolala saa 8 usiku tumaamka saa ngapi
Kulala saa nane usiku kila siku sio good idea, labda kama inakulazimu kufanya hivyo. Ila kama hauna kinachokulazimu kukaa macho ni vizuri ukawa na mda wa kutosha wa kupumzika ili usianze siku mpya na uchovu. Kuamka 5:30AM sio sheria ila kuamka mapema ni muhimu, inaweza ikawa 6:00AM au 7:00AM inategemea na routine zako za kila siku.
 
Today up to this time, i manage to read one chapter in a book
 
Back
Top Bottom