After big win, Obama looks ahead

After big win, Obama looks ahead

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
842b2d56639b301f200f6a70670089b9.jpg


"We have fought our way back and we know in our hearts that for the United States of America, the best is yet to come," Obama said.

The same voters who gave Obama another four years also elected a divided Congress, re-upping the dynamic that has made it so hard for the president to advance his agenda. Democrats retained control of the Senate; Republicans renewed their majority in the House.

It was a sweet victory for Obama, but nothing like the jubilant celebration of four years earlier, when his hope-and-change election as the nation's first black president captivated the world. This time, Obama ground out his win with a stay-the-course pitch that essentially boiled down to a plea for more time to make things right and a hope that Congress will be more accommodating than in the past.

Obama's lease renewed despite tough economic times - Yahoo! News
 
Congrats Obama!!! Umefanya mengi sema Wamarekani hawatosheki!! Uchumi mzima wa dunia umeyumba, wenzenu East wanasaidiana kunyanyua uchumi unadorora, unemloyment very high, high living cost (inflation), etc na nyie mnalialia!!!!! Bush aliacha Amerika ikiyumba sana kiuchumi, yet hawaoni juhudi za Obama, those against him!!!! Ila nimefurahi Amerika kuna siasa za kweli, na wakiamua wameamua na Obama truly, unapendwa!!! Hizo asilimia ulizopata zimepita hata zile za Bush za second term!! Keep it up man!!
 
Congrats Obama!!! Umefanya mengi sema Wamarekani hawatosheki!! Uchumi mzima wa dunia umeyumba, wenzenu East wanasaidiana kunyanyua uchumi unadorora, unemloyment very high, high living cost (inflation), etc na nyie mnalialia!!!!! Bush aliacha Amerika ikiyumba sana kiuchumi, yet hawaoni juhudi za Obama, those against him!!!! Ila nimefurahi Amerika kuna siasa za kweli, na wakiamua wameamua na Obama truly, unapendwa!!! Hizo asilimia ulizopata zimepita hata zile za Bush za second term!! Keep it up man!!

Nadhani ameshinda kwa sababu ya Romney. Kama angesimam na mtu kama Ron Paul asingerudishwa. Mitt ni mjinga, mwongo na hakubaliki hata kwa watu wapambafu kama Wamarekani!
 
Nadhani ameshinda kwa sababu ya Romney. Kama angesimam na mtu kama Ron Paul asingerudishwa. Mitt ni mjinga, mwongo na hakubaliki hata kwa watu wapambafu kama Wamarekani!

But kumbuka ushindi ni 50% kwa 48% ikimaanisha pia kuwa Romney alikuwa na likelihood ya kuchaguliwa!!! Obama amefanya mengi mazuri ni kwa sababu mbalimbali wanampinga tu!!! Democrat wenyewe wanampenda na asingekuwa competitive wasingemnadi!!! Tukubali amefanya mengi mazuri tu ni vile kuna na ka ubaguzi ni vile hawakasemi wazi!!! But kwa black I tell you ameshinda sana, Ingekuwa ni white hata kama aliboronga wangempa over 50% aliyopata!! But kwa kuwa wengi pia wanajali kafanya kazi ameshinda!!!
 
Nadhani ameshinda kwa sababu ya Romney. Kama angesimam na mtu kama Ron Paul asingerudishwa. Mitt ni mjinga, mwongo na hakubaliki hata kwa watu wapambafu kama Wamarekani!
thanks.... ameshinda because romney is weak and not american choixe
 
BACK TO WORK MR PRESIDENT
article-2229225-15E73C8E000005DC-455_634x423.jpg




Job done: The Obamas walk to Air Force One in Chicago on Wednesday to return to Washington



article-2229225-15E73E33000005DC-997_634x439.jpg
 
But kumbuka ushindi ni 50% kwa 48% ikimaanisha pia kuwa Romney alikuwa na likelihood ya kuchaguliwa!!! Obama amefanya mengi mazuri ni kwa sababu mbalimbali wanampinga tu!!! Democrat wenyewe wanampenda na asingekuwa competitive wasingemnadi!!! Tukubali amefanya mengi mazuri tu ni vile kuna na ka ubaguzi ni vile hawakasemi wazi!!! But kwa black I tell you ameshinda sana, Ingekuwa ni white hata kama aliboronga wangempa over 50% aliyopata!! But kwa kuwa wengi pia wanajali kafanya kazi ameshinda!!!

Amefanya mazuri kwa kutetea ushoga,umalaya, utoaji mimba.Nawambieni kweli waliompigia Obama ni watu wasio mcha Mungu, watakatifu wasingeweza kufanya upumbavu wa kupiga kura kwa huyo agent wa shetani!! hii inaonyesha jinsi gani ulimwengu unapenda uovu kuliko kupenda kweli ya Mungu.
 
Back
Top Bottom