edwinRM
Member
- Apr 2, 2016
- 19
- 5
Na wao wakipewa bure kama dangote anavyo taka wata uza hata 6000Hivyo viwanda unavyosema kuwa vinajiendesha kabla ya dangote walikua wakituuzia cement 16000
Na wao wakipewa bure kama dangote anavyo taka wata uza hata 6000Hivyo viwanda unavyosema kuwa vinajiendesha kabla ya dangote walikua wakituuzia cement 16000
Na ivory inatoka njeWakati mlikua mnajikombakomba kwake na kumuahidi gesi ya bure hamkuliona hilo. Nchi ya viwanda haijengwi kwa usanii, majungu, visasi, matamko.... Juzi hapa mkasema Dangote hana tatizo mtampa kila kitu, leo ghafla mnamtunishia misuli, mnasema hiki mnatenda kingine.
Wawekezaji wote wanawasoma nyie, kumbuka bado mnategemea wawekezaji wa kutokea nje maana hata sindano na pipi mnaagiza, uwezo huo haupo kwenu.
Tulisha wapa mombasa ina tosha chali anguDah maneno yanaumiza haya jombaaa ,taratibu basi
Hivi jombaa hamuwezi kufanya yenu mkaichukua Arusha na Kilimanjaro kuwa sehemu ya Kenya ?
Tujiulize Mimi na we we Kwa nini anachukua SA?Kwa nini sukari ya Brazil ni bei Rahisi kuliko ya morogoro?Haya maswali ilipaswa mawaziri wayatatueKumruhusu kuingiza coal toka South Africa ina maanisha ku-discourage investments in coal mines.
Halafu Wabongo kwa kiburi cha umaskini wanamwambia Dangote aende tu hawana haja naye.... Angalia comments zao kwenye mitandao.
Dangote amejaribu kupiga mkwara amekuta kiberiti kimejaa, Dangote kama anaona bei ya uzalishaji imeongezeka na yeye angepandisha bei ya Cement yake tu ukizangatia Cement yake ndio cheapest kwa bongo na si kufunga kiwanda, huu ulikuwa ni mkwara tu.
Kwa kuwa mkwara wake umegoma, muda si mrefu ataendelea na uzalishaji, atatoa tena press release akikazia ilikuwa ni technical malfunction tu ya mitambo tu, hasara anayoingia ya kuwalipa wafanyakazi bila uzalishaji ni ya kijinga.
Hamna mtu anayemnyenyekea fala yeyote aina yako.Mnigeria huyo, kuwa mpole kaka...
Hongera secretary wake unaweza pia kuwa mkalimani wake.Wewe nani alikuambia kila mtu dunia lazima atumie Kiswahili, huyo jamaa ametokea Nigeria na anafuatilia hizi taarifa za Dangote.
Ako poa ndio nini ewe mungiki?Aende kenya, kule watampa kila kitu atakacho bure!! Tz anayoidhania ya kutoa toa bure ilishapita.
Nenda mombasa chap ndio wapo wenye mawazo yako naona unapenda sana wanaume wa Kenya mpaka unataka waoe miamba ya kaskazini sasa mimi kama msemaji wa miamba ya kaskazini nakulaaani kwa nguvu zote.Dah maneno yanaumiza haya jombaaa ,taratibu basi
Hivi jombaa hamuwezi kufanya yenu mkaichukua Arusha na Kilimanjaro kuwa sehemu ya Kenya ?
matusi ya nini sasa ? Unajua kwanini nimesema hivyo ,Arifu mie mwenyewe chalii ya r acha kuleta mapigo ya kiduanzi ,machalii wa daslaam ndio wana hizo mboyoyo mingiNenda mombasa chap ndio wapo wenye mawazo yako naona unapenda sana wanaume wa Kenya mpaka unataka waoe miamba ya kaskazini sasa mimi kama msemaji wa miamba ya kaskazini nakulaaani kwa nguvu zote.