View: https://youtu.be/xJtsdnZJKSk?si=4MdoQtu6CK7c2qtz
Dogo anasema tatizo ni uongozi wa nchi na rushwa. Badala ya machawa kuongelea haya na kurekebisha wanaongelea Lissu na Chadema kila siku
ChoiceVariable
Pascal Mayalla
Tunawachangia wenye nyadhifa waishi lavish life na wapambe wao huku Watanzania masikini huo kazuramimba, nanyamba, kitele, sangamwalugesha wakiishi maisha ya hovyo na umasikini mkubwa.