ni kweli kabisa ulichosema,si mpira tu hata mambo yetu binafsi hatuwezi kuyafanya kama watu wa mabara mengine!
Tunashindwa kusimamia hata rasili mali tulizonazo ili tupate faida na tuendelee ki uchumi! madini yetu wanafaidi, hata ardhi yetu pia achilia mbali nafasi za biashara!
WAAFRIKA MPAKA LINI TUBADILIKE?
inasikitisha sana