Heri umeliona hili,tuna ukengemfu tumesahau wote hao walitufanya kuwa watumwa kwa mijeledi na hivi sasa kwa ulaghai na wamefanikiwa!! Tatizo hivi sasa ni elimu na maisha,watu wanaenda huko kwasababu huku shida sana.. tupaimarishe huku kwanza pawe patamu huko wataenda Kama watalii na wafanyabiashara au wafanyakazi wa kuheshimiwa.