Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

FOX SPORTS hawaonyeshi AFCON bhana acha kudanganya watu, labda UBC wanaweza kuwa live na kama kuna mtu aliongeza chanel ya ziada ya RTVGE kupitia azam tv yenyewe itakuwa live kwa game zote.
uganda wanaonyesha afcon yooote wenye zuku tunakula vitu laiiiiiiini
 
Namuona J.pitroipa hapa anafanya mambo kwa upande wa bfa na kwa upande wa GAB namuona Aubemeyang, raha tupu.
 
Aubemeyang anafanya mambo dak ya 18, GAB 1-0 BFA
 
Azam hovyo sana sana tena sana

Mbona king'amuzi cha Azam wanaonyesha UBC na kama ni mtundu wa kuweka ma-frequency, tv congo wanaonyesha ila lugha yao ni french. Kama una king'amuzi cha Azam, mpira upo.
 
Kudadeki walahi hii kosa kosa langoni kwa gabon!!!! huyu J. pitroipa yupo chini ya uangaliza wa walinzi kama watona hivi.
 
Acha wewe siku hizi dstv bei rahisi tu sh 99,000 kisembuzi,sh 17,000 kwa mwezi channel zaidi ya 65 Epl nakula,world cup afcon uefa nakula supersport select 1 & 2

Kwa sh 17000 usiwalushe watu eti unangalia vyote wanaonesha mechi moja tu.nimelala mechi yapili hawaoneshi
 
Hivi ile njemba ya burkina faso mwaka juzi ilikuwa imeenda hewani na nywele nyeupe kisha sura ya mbuzi iko wapi? Sijamuona! Njemba ilikuwa hatari.
 
Match za ufunguzi
Equatorial Guinea 1 1Congo Br
Gabon 2 0 Burkina Faso

Kesho
Zambia vs DR Congo (saa1 jioni)

Tunisia vs Cape Verde (saa 4 usiku)

Match huoneshwa
TBC2
UBC
Supersports nk
 
Nashukuru Mungu Tz hatukueza kufuzu katika mashindano hayo maana tungetia aibu mipira unaopigwa kule ni mwingi mno ....
Nilichokiona leo v
Kiwanja kilijaa sijui kwa match zinazofata
 
FT E. GUINEA 1-1 CONGO, FT BURKINA FASO 0-2 GABON, Pierre Aubameyang na Malick Evouna waifanyia mambo Gabon. leo game ya mapema saa 19:00 itakuwa kati ya Zambia vs Congo DRC na game ya pili itakuwa saa 22:00 kati ya Cape verde vs Tunisia.
 
lile goli limefutika????
Mmmh! mkuu Mc Tilly Chizenga nilikuwa nimevurugwa sana ile jana baada ya timu ninayoipenda ya wananchi kutoa sare pale taifa dhidi ya wanajeshi wa ruvu shooting. Ila ndo hivo hadi dakika ya 19 Gabon ilikuwa mbele kwa goli la Pierre Aubameyang huyu mchezaji wa Borussia Dotmund-German
 
Nashukuru hatukwenda huko maana wachezaji wetu nidhamu ndogo wangeenda kula magengeni warudi na ebola
 
Back
Top Bottom