Kuwa mpole tu utatumiwa sms... Mi wamenitumia baada ya miaka miwili, nikakifata ofisi ya kata.Mimi nilibahatika kupata namba nikaanza kufuatilia kadi mwisho nikaambiwa kadi zitatumwa kwa ofisi ya mtendaji, nikaanza kufuatilia hakuna nikaambiwa huwa zinaletwa kwa alfabet basi kila nikienda hakuna alfabet yangu zinapokuja simo nashangaa wengine wanaandikwa mara 2 2 wanachukua vitambulisho viwili mimi hata kimoja sipati, nikachoka na siendi tena labda wanipigie simu.
Hayo majina rudi kwa mwanasheria uliko yasajili majina yako kwenye Deep poll yaongezee na hayo yaliyopo kwenye hicho cheti cha darasa la saba yasomeke pia kama ni majina yako lakini kwa sasa huyatumiini cheti cha darasa la saba Kina majina tofauti na niliyo jisajili nayo Nida je watakubali maana nahofia nisije anza huo mchakato wa kukitafuta niwaletee aseme tena hiki ni tofauti