Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kama mada inavyojieleza
Imenishangaza sana na kunifanya nijiulize Mara 2 2 tatizo nini
Nimekaa zangu hapa home nje karibu na road
Ghafla naona pikipiki inapita taratibu ile kuchek fresh namwona mmama askari Magereza bila shaka ni afisa wa jeshi hilo kwa sababu begani ana cheo cha ngao ya taifa kapanda boda boda mishikaki
Hivi jeshi la magereza linashindwa kuwa na magari kwa ajili ya kuwasafirisha maafisa wao kama ilivyo kwa majeshi mengine
Kupanda mishikaki ni kujiweka katika hatari ya kupata ajali na pia ni kuvunja sheria za usalama barabarani.
Nawasilisha
Imenishangaza sana na kunifanya nijiulize Mara 2 2 tatizo nini
Nimekaa zangu hapa home nje karibu na road
Ghafla naona pikipiki inapita taratibu ile kuchek fresh namwona mmama askari Magereza bila shaka ni afisa wa jeshi hilo kwa sababu begani ana cheo cha ngao ya taifa kapanda boda boda mishikaki
Hivi jeshi la magereza linashindwa kuwa na magari kwa ajili ya kuwasafirisha maafisa wao kama ilivyo kwa majeshi mengine
Kupanda mishikaki ni kujiweka katika hatari ya kupata ajali na pia ni kuvunja sheria za usalama barabarani.
Nawasilisha