BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,154
- 2,167
Inashangaza kuona ofisi nyeti ambayo inahudumia watumishi wote limekua ni danguro la wapuuzi ambao hawajui ile ofisi sio sehemu ya kusukana nywele bali ni ofisi ya kutolea huduma kwa watumishi UTUMISHI Ilemela hii ofisi imejaa wanawake tu ambao ni wanne ofisi moja ambapo majibu yao na kauli zao ni mbovu mno.
Costomer care ni zero yani huwez jua afisa utumishi ni nani kwani ukiingia pale ofisini utawakuta wanaangalia movie kwenye computer na hawakusikilizi. Nina heshimu wanawake lakini wanaojitambua mmepewa ofisi basi hudumieni watumishi na wala hakuna mwenye shida na kazi yenu.
Mkurugenzi Ilemela tafadhali ondoa mara moja watu ambao hawapaswi kukaa katika ofisi hiyo ili tuweze kujua Afisa UTUMISHI ni nani na mtu uwe huru kusikilizwa na kujieleza.
Mwisho nyie madada mnajijua jinsi mlivyo kero na watumishi wa ilemela jinsi mnavyowakwaza.
Next time mnatandikiwa umoumo
Costomer care ni zero yani huwez jua afisa utumishi ni nani kwani ukiingia pale ofisini utawakuta wanaangalia movie kwenye computer na hawakusikilizi. Nina heshimu wanawake lakini wanaojitambua mmepewa ofisi basi hudumieni watumishi na wala hakuna mwenye shida na kazi yenu.
Mkurugenzi Ilemela tafadhali ondoa mara moja watu ambao hawapaswi kukaa katika ofisi hiyo ili tuweze kujua Afisa UTUMISHI ni nani na mtu uwe huru kusikilizwa na kujieleza.
Mwisho nyie madada mnajijua jinsi mlivyo kero na watumishi wa ilemela jinsi mnavyowakwaza.
Next time mnatandikiwa umoumo