Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,334
- 2,212
Allah akulipe kheri ndugu yangu.Simchezo kwa maneno haya nikikupa aya na Hadithi hazita fua dafu.
Nishamuwekea mtu ushahidi wa Hadithi ya Mtume, kwenye Qur'an soma habari za watu wa kaumu Luti uone kilicho wakuta na ubaya wa vitendo hivyo,ukiona haja utasoma usipo ona haja kadhalika utapuuza.
Ila huwezi kuwa na akili timamu ukatetea ushoga na usagaji. Wewe ni miongoni mwao, kuendeleza mjadala na wewe ni matumizi mabaya ya akili na muda pia.
Usipo kuwa na hoja bora ukae kimya kuliko kuwatusi watu na kuwazulia uongo, sababu hajutii mtu akikalia kimya mambo asiyokuwa na ujuzi nayo.
Nimemaliza.
Namuomba Allah awaongoze hao katika njia ya sawa au awaangamize, Aamiin.
Hawamshindi Allah.