serengo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 488
- 362
Kumekuwepo na Tabia ya kushusha walimu wakuu ( Msingi) vyeo katika Wilaya ya Nyamagana - Mwanza.Kazi hiyo hufanywa na Afisa elimu Wilaya akishirikiana na waratibu elimu Kata,sababu kubwa ni kwa ajili ya kuwatafutia watu wao ukuu.
Ila jambo hilo LA kuwavua walimu wakuu madaraka linafanyika kwa uonevu sana na kuharibiana CV, mfano Mwalimu amepewa ukuu January 2017 then February 2017 unamvua madaraka ? Ulitumia kigezo gani kumupandisha kuwa mkuu na umetumia vigezo gani kumvua? Huu ni uzalilishaji sana na inatokea sana kwa watu ambao hawana Wa kuwatetea hapo Jiji,
Vigezo vikuu wanavyotumia kutafuta magep hayo ni
I. Shule kutofanya vizuri kwenye mitihani.umenipa shule January umenitoa February ni mtihani gani ambao umefanyika hapo katikati?Hiyo ni njia moja wapo ya udhalilishaji.
Ii.Sababu ya Pili mwalimu mkuu kutowawajibisha walimu wachelewaji? Je ww afisa elimu ulishawahi kufika kwenye shule na kufanya ukaguzi kwenye daftari LA mahudhurio?,Ulitoa onyo lolote? Au afisa yeyote alishafanya ukaguzi kwa shule hiyo? Mkuu anashushwa cheo bila kufanyiwa ukaguzi wowote wala barua yoyote ya onyo, Tunaharibia CV kwenye file zetu jamani.
Ninaomba uongozi Wa mkoa uiangalie sana ofisi ya Afisa elimu Nyamagana, malalamiko ya unyanyasaji Wa walimu yamekuwa mengi, huyo afisa elimu aliyepo hafai hata kwa dawa, ataharibu taaruma ya nyamagana .
Uongozi Wa elimu mkoa Wa Mwanza umuchunguze vizuri anaharibu dira ya elimu nyamagana,maana anachangia sana udumavu Wa elimu kwenye Wilaya hii.
Ila jambo hilo LA kuwavua walimu wakuu madaraka linafanyika kwa uonevu sana na kuharibiana CV, mfano Mwalimu amepewa ukuu January 2017 then February 2017 unamvua madaraka ? Ulitumia kigezo gani kumupandisha kuwa mkuu na umetumia vigezo gani kumvua? Huu ni uzalilishaji sana na inatokea sana kwa watu ambao hawana Wa kuwatetea hapo Jiji,
Vigezo vikuu wanavyotumia kutafuta magep hayo ni
I. Shule kutofanya vizuri kwenye mitihani.umenipa shule January umenitoa February ni mtihani gani ambao umefanyika hapo katikati?Hiyo ni njia moja wapo ya udhalilishaji.
Ii.Sababu ya Pili mwalimu mkuu kutowawajibisha walimu wachelewaji? Je ww afisa elimu ulishawahi kufika kwenye shule na kufanya ukaguzi kwenye daftari LA mahudhurio?,Ulitoa onyo lolote? Au afisa yeyote alishafanya ukaguzi kwa shule hiyo? Mkuu anashushwa cheo bila kufanyiwa ukaguzi wowote wala barua yoyote ya onyo, Tunaharibia CV kwenye file zetu jamani.
Ninaomba uongozi Wa mkoa uiangalie sana ofisi ya Afisa elimu Nyamagana, malalamiko ya unyanyasaji Wa walimu yamekuwa mengi, huyo afisa elimu aliyepo hafai hata kwa dawa, ataharibu taaruma ya nyamagana .
Uongozi Wa elimu mkoa Wa Mwanza umuchunguze vizuri anaharibu dira ya elimu nyamagana,maana anachangia sana udumavu Wa elimu kwenye Wilaya hii.