AfDB yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 375 kwa ajili ya miradi ya Umeme na Maji Kanda ya Ziwa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,116
49,840
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeipatia Tanzania mkopo wa Sh374.9 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa umeme wa maji Kakono uliopo Kanda ya ziwa.

Fedha hizo ni kati ya Sh750 bilioni ambazo AfDB, Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) kwa ushirikiano na Umoja wa Ulaya zilikubali kufadhili mradi huo ikiwa ni ombi la lilitolewa na Serikali.

Akizungumza katika hafla ya kusaini mkataba huo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema kabla ya fedha zilizopokelewa leo nyingine zilipokelewa Machi 7, mwaka huu.



---

 
Sasa na lile bwawa lilizinduliwa mwisho wa mwaka 2022 lilikuwa la nini?!

Wanasiasa bana 😅😅😅🙌🏾
 
Bwawa gani tena Mzee? Kuwa na akili basi..

Serikali inalenga kuwa na umeme wa megawatt 5000-6000 za umeme by 2025/26 Sasa bwawa ndio linaweza fikisha hicho kiasi?
Pekua tena usome alichozindua Mama Samia tarehe 22/12/2022 chini ya waziri January Makamba
 
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeipatia Tanzania mkopo wa Sh374.9 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa umeme wa maji Kakono uliopo Kanda ya ziwa.

Fedha hizo ni kati ya Sh750 bilioni ambazo AfDB, Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) kwa ushirikiano na Umoja wa Ulaya zilikubali kufadhili mradi huo ikiwa ni ombi la lilitolewa na Serikali.

Akizungumza katika hafla ya kusaini mkataba huo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema kabla ya fedha zilizopokelewa leo nyingine zilipokelewa Machi 7, mwaka huu.



---


Mods badilisheni Heading isomeke sh.Bilioni 750 na sio bil.375
 
Back
Top Bottom