Afariki kwa kurukiwa na samaki mdomani.

Afariki kwa kurukiwa na samaki mdomani.

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Ni ktk Wilaya ya Morgogoro vijijini kijana mmoja amefariki dunia baada ya kuingiwa na samaki mdomoni baada ya kumvua.
IMANI ya ushirikini inahusishwa na tukio hilo.
 
thats why mimi na Bujibuji tunatamani mno kujifunza uchawi na kujua siri kuu ya hii kitu! sitanii natamani kujifunza uchawi
 
Inanikumbusha ile ya mara yule mtoto wa kike aliyeingiwa na samaki sehemu za siri.
cjui iliishia wapi!
 
thats why mimi na Bujibuji tunatamani mno kujifunza uchawi na kujua siri kuu ya hii kitu! sitanii natamani kujifunza uchawi

Sasa mkuu siungemuona huyu bwana LIKUD.....Yeye nafikiri alishamaliza kozi ya uchawi..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom