Afanye nini dada huyu?

naona ungemwita upate maoni yake kwanza kisha ungepata pa kuanzia,nipo tayari kumsaidia hela za kumsaidia kidogo,baada ya kupata dira yake ikoje
 

Aisee mwambie aondoke dadangu chin jua hamnaga mapenzi ya hivyo, si lazima kuolewa.
 
nadhani kuna haja ya kwenda jukwaa la sheria kwani msichana kubadili dini kwa lazima ni humiliation na maswala ya kuondoka na mtoto wake, a father is responsible for evry needs za mtoto, so baba achague either abaki na mtoto mama asepe or waendelee kuishi kama kawaida
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…