Ni habari ya kweli na imenichanganya sana kwa kuwa namfahamu binti ni mtulivu na ana tabia njema. Sikutegemea kama yule Bwana angemfanyia hivyo wakati toka mwanzo alijua binti ni mkristo.
Tatizo linakuja kuwa asepe aende wapi???? Kwangu nilikuwa naishi naye kama house girl! hana ndugu.
Mrudishe kwako na uishi naye kwani wewe ndiye mlezi wake na unaijuwa historia yake na kwavile umewahi kaa naye basi mfanye awe mmoja ya wanafamilia wako/ Wanao. Mungu ni Mwema na atakubariki kwa hil.
wewe ndo ndugu yake hapa mjni mpe msaaada hata kwa kumsaidia kuanzisha biashara ndogo
Sasa dada Happy, umeishi na mtu miaka mitano, kakulelea mtoto/watoto leo unashindwaje kumsaidia au aliondoka mkiwa mmekorofishana?
Binafsi nadhani una nafasi kubwa ya kumsaidia kuliko mtu mwingine yeyote ukizingatia unasema hana ndugu, na ndugu yake kwa sasa ni wewe, msaidie plz!
Nilikuwa na msichana wa kazi niliyeishi naye kwa miaka 5. Kwa bahati mbaya hana wazazi wala ndugu anayeweza kumsaidia au kumtegemea kwa lolote. Mwaka jana alipata mimba na nilipomhoji kijana aliyempa mimba alikubali na kuamua kumchukuwa na kuishi naye kwa tabu kwani Bwana hana kazi, ni mtu wa day waka tu.
Jana msichana ananipigia simu na kunieleza kuwa Bwana wake amejiunga na Kikundi cha Uamsho na ametoa amri inayomtaka Mdada kubadili dini (alikuwa Mksristo) mara moja la sivyo aondoke na mtoto wake wa miezi miwili. Mdada hana pa kwenda na hayuko tayari kubadili dini. Nishaurini nimwambie afanye nini?
Nilikuwa na msichana wa kazi niliyeishi naye kwa miaka 5. Kwa bahati mbaya hana wazazi wala ndugu anayeweza kumsaidia au kumtegemea kwa lolote. Mwaka jana alipata mimba na nilipomhoji kijana aliyempa mimba alikubali na kuamua kumchukuwa na kuishi naye kwa tabu kwani Bwana hana kazi, ni mtu wa day waka tu.
Jana msichana ananipigia simu na kunieleza kuwa Bwana wake amejiunga na Kikundi cha Uamsho na ametoa amri inayomtaka Mdada kubadili dini (alikuwa Mksristo) mara moja la sivyo aondoke na mtoto wake wa miezi miwili. Mdada hana pa kwenda na hayuko tayari kubadili dini. Nishaurini nimwambie afanye nini?
Ye nani alimwambia akatmbee na Uamsho.... ? Mtafutie mtaji aondoke hapo fasta akabangaize mbele atajakufa bure .
Nilikuwa na msichana wa kazi niliyeishi naye kwa miaka 5. Kwa bahati mbaya hana wazazi wala ndugu anayeweza kumsaidia au kumtegemea kwa lolote. Mwaka jana alipata mimba na nilipomhoji kijana aliyempa mimba alikubali na kuamua kumchukuwa na kuishi naye kwa tabu kwani Bwana hana kazi, ni mtu wa day waka tu.
Jana msichana ananipigia simu na kunieleza kuwa Bwana wake amejiunga na Kikundi cha Uamsho na ametoa amri inayomtaka Mdada kubadili dini (alikuwa Mksristo) mara moja la sivyo aondoke na mtoto wake wa miezi miwili. Mdada hana pa kwenda na hayuko tayari kubadili dini. Nishaurini nimwambie afanye nini?
Mimi nilikuwa naishi naye kama house girl wangu. Yeye ananiona mimi kama ndiyo ndugu yake na kila kitu ananiambia mimi. Sasa aliponiambia kuhusu hili, nimejikuta njiapanda siwezi msaidia. Nimeomba ushauri wenu
hii mbona kali xaxa, yeye mwenyewe anasemaje
kama karidhika aishi naye(maana mambo ya mapenzi ni watu wawili )
hii umetunga unabishaaaaaaaaaaaaaa
Nilikuwa na msichana wa kazi niliyeishi naye kwa miaka 5. Kwa bahati mbaya hana wazazi wala ndugu anayeweza kumsaidia au kumtegemea kwa lolote. Mwaka jana alipata mimba na nilipomhoji kijana aliyempa mimba alikubali na kuamua kumchukuwa na kuishi naye kwa tabu kwani Bwana hana kazi, ni mtu wa day waka tu.
Jana msichana ananipigia simu na kunieleza kuwa Bwana wake amejiunga na Kikundi cha Uamsho na ametoa amri inayomtaka Mdada kubadili dini (alikuwa Mksristo) mara moja la sivyo aondoke na mtoto wake wa miezi miwili. Mdada hana pa kwenda na hayuko tayari kubadili dini. Nishaurini nimwambie afanye nini?