Advantage kwa Mh .Lowasa

Advantage kwa Mh .Lowasa

Afande Fojuman

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
657
Reaction score
548
Kuna rafiki yangu mmoja kanichekesha hadi machozi. Anasema siku zote ushindi wa ccm unachangiwa na wapiga Kura toka vijijini,lakini kwasasa upepo umebadilika. Anasema watu wengi vijijini watamchangua lowasa wakijua bado yupo ccm, yaani hawajui kuwa lowasa ameshahama. Anasema amejaribu kuprint picha Za lowasa na magufuri, lakini kila anayemuuliza atamchagua nani anamwonesha picha ya lowasa. Cha ajabu pia wengi wao hata magufuri hawamjui... Pia nywele nyeupe,ie mvi watu wengi uku vijijini wenye uelewa mdogo wanasema lowasa ni mtoto wa NYERERE. Hii, ni kama ya watindiga waliofikiri Nyerere anaishi baada miaka kadhaa kupita tangu kifo chake. Nimecheka sana)
 
wataipenda tu UKAWA!!! acha wachumia tumbo akina polopolo plus prof lipumbavu wakule mabaki ya escrow ya ccm afu wakiamka tu wanaikuta UKAWA IKULU!!!
 
Kuna rafiki yangu mmoja kanichekesha hadi machozi. Anasema siku zote ushindi wa ccm unachangiwa na wapiga Kura toka vijijini,lakini kwasasa upepo umebadilika. Anasema watu wengi vijijini watamchangua lowasa wakijua bado yupo ccm, yaani hawajui kuwa lowasa ameshahama. Anasema amejaribu kuprint picha Za lowasa na magufuri, lakini kila anayemuuliza atamchagua nani anamwonesha picha ya lowasa. Cha ajabu pia wengi wao hata magufuri hawamjui... Pia nywele nyeupe,ie mvi watu wengi uku vijijini wenye uelewa mdogo wanasema lowasa ni mtoto wa NYERERE. Hii, ni kama ya watindiga waliofikiri Nyerere anaishi baada miaka kadhaa kupita tangu kifo chake. Nimecheka sana)

Heheheheheee. Au ndio maana havai gwanda? Itakua wadau wameshamtonya kuhusu hii kitu.
 
hata mimi nita mchagua mtoto wa nyerere,sio yule mlevi,huyu mwenye nywele nyeupe kama baba yake...hahaha
 
Mlevi nae kakaa kilevi levi tu muda wote. Hizi zsitwa technical mistskes.Hairudi
 
Sheria zinatuambia nini kuhusu mh Rais kuanguka/kutia signature yake? Je aweza kutumia dole gumba na akiwa kashikwa mkono ili dole gumba lisikosee?

Jamani natuone mbali zaidi ya pua zilipo ishia.
 
Sheria zinatuambia nini kuhusu mh Rais kuanguka/kutia signature yake? Je aweza kutumia dole gumba na akiwa kashikwa mkono ili dole gumba lisikosee?

Jamani natuone mbali zaidi ya pua zilipo ishia.

Umeandika kwa kutumia ubongo wa maiti.
 
Lowasa huyu ndondocha anaetoa maudenda na kujikojolea hovyo au lowasa gani anazungumziwa hapa?
 
Back
Top Bottom