enny mchuz
Member
- Feb 23, 2013
- 33
- 1
hawa wa2 vp wameita?nina mdogo wangu anauliza
Hyo ya jmoc ilikuwa written?kuna interview ilifanyika jmos may be kuna nyingine yafata.
wameitwa, interview kesho
even me nahitaj kujua km wameitwa?? na waliitwa kwa njia gani walipigiwa cm au wali2miwa thru email??
thanks for the answer. hata mimi nliomba bt hawajanipigia simu mpaka leo na nlikua nataman sana ningepata nafasi advans kiukweli. May be its not my luck.