Advans Bank waita watu Kazini

Advans Bank waita watu Kazini

Ngwazity

Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Kwa wale waliofanya interview written cku ya j'moc then wakaitwa kwenye Oral j'4 k'koo jamaa wameanza kufanya placement tayar ktk nafac za Client officer na Cashier na leo saa nane wameitwa ofisin na barua za Serikali za mitaa... Kama hujaitwa POLE
 
samahan naomba nikuulize. Hao walioitwa wanaenda kufanyia ile branch ya k.koo au watagawanyishwa na branch zingine???? Naomba unisaidie kunipa jibu tafadhari.
 
Kwa wale waliofanya interview written cku ya j'moc then wakaitwa kwenye Oral j'4 k'koo jamaa wameanza kufanya placement tayar ktk nafac za Client officer na Cashier na leo saa nane wameitwa ofisin na barua za Serikali za mitaa... Kama hujaitwa POLE[/QUOTE]

Hongera sana kwa kupata kazi,lakini sijapendezwa kwenye red hapo.Inatakiwa kuwatia moyo watu na sio kuwaambia eti pole.Maana hata wewe yumukini hiyo kazi umeipata baada ya kupiga interview zaidi ya 15
 
upo sahihi bornagain. Hapo kwenye red haijakaa fresh hata kidogo. Unatakiwa ku2tia moyo sisi ambao bado tunatafuta cz hata wewe hapo sio kigoma mwisho wa reli. Leo kesho unaeza timuliwa akakaa yule uliempa pole na kumcheka. Maisha ni kama kiti cha basi we unashuka mwenzio anapanda na anakaa. Xo watch out meeeen..!!!!!!!
 
Unafurahi hadi unaleta dharau kwa waliokosa.hiyo bank huijui,nakupa miezi mi3 utaona bora kuwa jobles.
 
Kwa wale waliofanya
interview written cku ya j'moc then wakaitwa kwenye Oral j'4 k'koo jamaa
wameanza kufanya placement tayar ktk nafac za Client officer na Cashier
na leo saa nane wameitwa ofisin na barua za Serikali za mitaa... Kama
hujaitwa POLE

mimi hawajaniita wala nn
 
nimetoa taarifa tu kwa waliofanya interview na sijawahi hata kuomba kazi hiyo Bank.. Kama nimekosea sorry lkn lengo ni kuwapa pole waliokosa then songa mbele..!! Mwasheli na dogo janja someni vizuri co mnakurupuka tu alaaaaaaaa.....!!
 
samahan naomba nikuulize. Hao walioitwa wanaenda kufanyia ile branch ya k.koo au watagawanyishwa na branch zingine???? Naomba unisaidie kunipa jibu tafadhari.

Inaelekea u like this bank aisee...usikate tamaa kama hujaitwa inawezekana kuna sehem nzuri zaidi iko kwa ajili yako..
 
nimetoa taarifa tu kwa waliofanya interview na sijawahi hata kuomba kazi hiyo Bank.. Kama nimekosea sorry lkn lengo ni kuwapa pole waliokosa then songa mbele..!! Mwasheli na dogo janja someni vizuri co mnakurupuka tu alaaaaaaaa.....!!

Tunashangaa hizi taarifa umetoa wapi
 
Kwa wale waliofanya interview written cku ya j'moc then wakaitwa kwenye Oral j'4 k'koo jamaa wameanza kufanya placement tayar ktk nafac za Client officer na Cashier na leo saa nane wameitwa ofisin na barua za Serikali za mitaa... Kama hujaitwa POLE
Ahsante!
 
nimetoa taarifa tu kwa waliofanya interview na sijawahi hata kuomba kazi hiyo Bank.. Kama nimekosea sorry lkn lengo ni kuwapa pole waliokosa then songa mbele..!! Mwasheli na dogo janja someni vizuri co mnakurupuka tu alaaaaaaaa.....!!

Mimi nmeshkuru kwa taarifa. Tena umetufafanulia vizuri sana. But pole yako ww hujaiexpress vile inavotakiwa, cjui umeelewa bwana Ngwazity???????? Hop umeelewa.Thanks anyway.
 
duu huyu mujamaa anahasira sana na kukosa kazi ndio maana anatafuta release kwa wengine this is bongo bana..
 
kiukweli hiyo pole haijakaa kiungwana,
ingawa dhamira yako ilikuwa njema kama ulivyo sema,
lakini imetumika mahala pasipo sahii!
Na ndio maana imepelekea kwenye huu mtafaruku!
Mbali ya yote wana jamii ni watu wenye upeo na busara hivyo naomba tumwelewe Mwenzetu kwa Uzuri na kuepusha shari!!!!
 
Back
Top Bottom