kama umechaguliwa katika timu ya Advance bank Tanzania, Jiandae kwa training ya miezi mitatu, na utakuwa ukipewa posho ya shilling 50,000 kila week kwa muda wote wa training, baada ya kumaliza vizuri training, utapewa mkataba wa miezi sita under probation,Kwa kipindi cha probation utakuwa unakula 500,000 na kama wataridhika na utendaji wako wa kazi kwa kipindi hicho cha miezi sita, watakuajili moja kwa moja na utakuwa unakula 600,000. Mshahara wa CA & TELLER ndio huo nilio kuonyesha, ila CO yeye anaongezewa kama 50,000 kwenye huo mshara niliouonesha. Pia Advance bank wanatoa bonas kutokana na utendaji kazi wako, ukiwa productive sana unaweza kujikuta kwamwezi unapata bonus nusu ya Mshahara wako. Kwa hiyo sasa kama umepata kazi hapo. Ninafikili Haka kakiasi kanaweza kukusaidia katika kusukuma ghurudumu la maisha na pia katika kukutengenezea CV yako. UAMUZI NI WAKO SASA KAKA, HIZO NDO UP DATE ZA ADVANS BANK TANZANIA. Pia kama unakwenda kufanya kazi mbeya, andaa nauli ya kukupeleka huko pamoja na fedha za makazi na maradhi, Kwa kipindi cha kwanza katika kazi utaona kazi chungu kama haukuwa na Maandlizi ya kutosha. kwani benk huwa haitoi fedha za usafili wala maradhi na Makazi, kwahiyo unaweza kuwa unatunza kiasi fulani cha fedha katika akiba yako ya posho kwa ajili ya Gharama za makazi na Maradhi utapokuwa umefika huko Jijini Mbeya.