Adui wa mwanamke ni mwanamke

Naona wapo kimya,wanajua huu ndyo ukweli 96%,si unaona hata wabunge kina mama wanatukanana kupitia mitandao,hawajali hata heshima ya nafasi zao.Hawa viumbe ni noma eti,na yote hiyo chanzo ni mabuzi.
 
Hamna tofauti na sisi wanaume. Adui wa mwanaume pia ni mwanaume. Nenda ofisini, mhudumu mwanaume atashughulikia mwanammke akuache we we mwanaume mwenzake. Nenda kutafuta kazi, mwanamke mwenye vigezo vya chini kukuliko atapewa wewe unyimwe kama mhajiri ni mwanaume. Kapande mat (daladala), concodi (taniboi) atamuongelesha mwanamke kwa heshima na we we atakuharakisha kama mtoto.


Hanna tofauti. hata wanaume ni maadui wa wanaume wenzao.
 

mkuu nishawahi kuja na sred hapa ikisema sumu ya mwanamke ni mwanamke mwenzie, msemo huu niliupata toka kwa wazee wa kiisilamu wakipongeza uisilamu kuoa wake hadi wanne, wakasema mwanamke akijua kuna mwenzake lazima akiri irudi sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…