luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,361
- 6,966
Mambo sio mambo idadi ya wasomi wapungua ....ada ipo juu sanaaa iv inawezekana kulipa kidogo kidogo ada ya masters
Kama elimu ni ghali jaribu...Mimi nimesitisha kwenda baada ya kwenda kufanya tour hapo chuoni, na ku calculate cost (time, energy & money) nitakayotumia kupiga hapo Masters yangu.
Nimesamehe pesa ya application...
Lol... Ninaposoma now nalipa ada tu mara 20 ya pesa ya ada ya hapo.Kama elimu ni ghali jaribu...
Ada imeshuka sana udsm.current new fee structure for postgraduate imeshuka kufika had mil 3.9 kwa baadh ya koz kutoka mil 4.9 ya awal.
Nlisikia ni kwa wote first yr na continuous students.tembelea ofis za accountant wa college yako kwa taarifa zaid.Thanks Prof kwa taarifa.
Ni kuanzia mwaka huu au inahusisha na tulioanza mwaka jana?
Mi nafanya Kozi YA 24 months lkn nilisikia wanataka ilipwe Mara 3 sijui we hapo ulilipa bei ganiNdio. Unaigawanya mara tatu kama unasoma for 18 months au mara nne kama utasoma for 24 months.
Kwani imeongezeka, I thought its almost Mil 6.something!
Mi nafanya Kozi YA 24 months lkn nilisikia wanataka ilipwe Mara 3 sijui we hapo ulilipa bei gani
Pamoja sana kaka , vp lkn kitabu umeanzaMimi pia niliambiwa ninaweza kulipa kwa awamu ya 3 times.
Jaribu kuongea nao tena.