Waungwana, nawasalimu.
Naomba msaada ndugu zangu mwenye admission letter za mzumbe 2016/2017 especially Mbeya campus anisaidie. Au mwenye kufahamu chuo kinafunguliwa lini na first year wanaanza kuripot lini. Nitashukuru Sana, kuna bwana mdogo amechaguliwa hapo.
Asanteni