hellow,kwa wale wenzangu waliosoma public administration na human resources,mimi nlituma cv yangu nkabahatika kupata kazi kama sales executive..na sasa zimetoka nafasi za watu wa administration so kwa wataokua interested wanaweza kutuma cv zao kwenye hii email.farmflowers255@gmail.com,kama wakilidhika nayo utatumiwa form ujaze then utaambatanisha na cover letter pamoja na copy za vyeti...