Adhabu za TFF ni za kushangaza dunia

TANZANNIA

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
1,047
385
Nimeshangazwa sana na adhabu walizotoa TFF kwa timu zilizopanga matokeo na baadhi ya wahusika.

Si kwamba naunga mkono madudu yaliyofanywa na timu hizo au watu hao bali ni aina ya adhabu walizotoa, unamfungia mtu maisha wakati ajira yake ni mpira, adhbu hii inastahili? unamfungia mchezaji miaka kumi na kumtoza faini ya milioni,10/-ukiangalia huyo mtu tayari ana umri wa miaka 26 unapomfungia miaka kumi atakuwa na umri gani? unamtoza faini ya milioni kumi wakati mshahara wake/kipato chake hakifiki hata laki tano kwa mwezi!

Tuangalie anga za kimataifa wakati Suarez wa Uruguay alipoikosesha Ghana kwa makusudi kwenda nusu fainali ya kombe la dunia 2010 South Africa kwa kudaka mpira uliokuwa unaingia wavuni alipewa adhabu ya kufungiwa mechi tisa tu za timu ya taifa.

Pia Zidane Zizu aliwahi kumpiga mtu kichwa uwanjani lakini alipewa adhabu ya red card na faini kama sijakosea, na si kumfungia mtu maisha kwani huko ni sawa na kumuua kwani ndio ajira yake.
 
nimeshangazwa sana na adhabu walizotoa tff kwa timu zilizopanga matokeo,na baadhi ya wahusika,
si kwamba naunga mkono madudu yaliyofanywa na timu hizo au watu hao bali ni aina ya adhabu walizotoa,unamfungia mtu maisha wakati ajira yake ni mpira,adhbu hii inastahili?unamfungia mchezaji miaka kumi na kumtoza faini ya milioni,10/-ukiangalia huyo mtu tayari ana umri wa miaka 26 unapomfungia miaka kumi atakuwa na umri gani?unamtoza faini ya milioni kumi wakati mshahara wake/kipato chake hakifiki hata laki tano kwa mwezi,
tuangalie anga za kimataifa wakati suarez wa uruguay alipoikosesha ghana kwa makusudi kwenda nusu fainali ya kombe la dunia 2010 south africa kwa kudaka mpira uliokuwa unaingia wavuni alipewa adhabu ya kufungiwa mechi tisa tu za timu ya taifa,
pia zidane zizu aliwahi kumpiga mtu kichwa uwanjani lakini alipewa adhabu ya red card na faini kama sijakosea,na si kumfungia mtu maisha kwani huko ni sawa na kumuua kwani ndio ajira yake



Kila siku mnaambiwa viongozi TFF wako pale kwa ajili ya ulaji tu, kuanzia Tenga alipokuwa pale mpaka hawa vinyago wa sasa. Wewe angalia makao makuu ya hiko chama, wala akiendana na chama cha mpira. Hela zinaingia za kutosha ila tizama jingo lao, yaani haliendani kabisa na hadhi ya chama chochote cha kujitegemea. TFF ivunjwe tu na kuchukuliwa na bodi ya BMT.
 
Nimeshangazwa sana na adhabu walizotoa TFF kwa timu zilizopanga matokeo na baadhi ya wahusika.

Si kwamba naunga mkono madudu yaliyofanywa na timu hizo au watu hao bali ni aina ya adhabu walizotoa, unamfungia mtu maisha wakati ajira yake ni mpira, adhbu hii inastahili? unamfungia mchezaji miaka kumi na kumtoza faini ya milioni,10/-ukiangalia huyo mtu tayari ana umri wa miaka 26 unapomfungia miaka kumi atakuwa na umri gani? unamtoza faini ya milioni kumi wakati mshahara wake/kipato chake hakifiki hata laki tano kwa mwezi!

Tuangalie anga za kimataifa wakati Suarez wa Uruguay alipoikosesha Ghana kwa makusudi kwenda nusu fainali ya kombe la dunia 2010 South Africa kwa kudaka mpira uliokuwa unaingia wavuni alipewa adhabu ya kufungiwa mechi tisa tu za timu ya taifa.

Pia Zidane Zizu aliwahi kumpiga mtu kichwa uwanjani lakini alipewa adhabu ya red card na faini kama sijakosea, na si kumfungia mtu maisha kwani huko ni sawa na kumuua kwani ndio ajira yake.
Kwa kosa la kupanga matokeo hio ndio adhabu wanayostahili
 
Kuna siku nilizungumzia kuhusu adhabu aliyopewa mchezaji wa Mbeya City anacheza kama ulinzi(jina limenitoka) alifungiwa miaka 2,nilijiuliza sana hivi huyu mtu si unaua kipaji chake kabisa.Amefanya kosa ila miezi 6 ingemtisha kabisa tena ni mingi mno. TFF sidhani kama kweli ni watu wenye maono ya mpira na malengo ya mpira pamoja.Wapo kipesa pesa tu pale.
 
Alafu wao viongozi wa TFF mbona wana mapungufu mengi sana hivi kulingana na ukubwa wa makosa yao watastahili adhabu gani? Au wao itakua kunyongwa kabisa? ????
 
mkuu TFF wanatoa adhabu kubwa ili kutupotezea kuwa wao hawakuhusika katka upangaji wa matokeo hiyo ndo janja ya MALINZI & COMPANY
 
Kupanga matokeo ni hatari kuliko kumpiga mtu uwanjani... Wangefungwa jela kabisa
 
Wewe mleta mada unaona issue ya kupanga matokeo ni jambo la kawaida sana si ndiyo?huoni ni sawa na kesi ya kuhujumu uchumi.maana unahujumu timu iliyopaswa kupanda daraja na kuinyima nafasi/haki yao.
 
Back
Top Bottom