Adabu ipo wapi

hips.com

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
344
Reaction score
91
Je ni sahihi shemeji au wifi kuingia chumbani kwako na kufanya usafi wakati upo safarini. Kwa kigezo kwamba ni chumbani kwa kaka yetu? naombeni tusaidiane katika hili
 
inategemeana mlivyozoea,lakin si uko safarini siyo mbaya,lakini kama upo home na wala hamna sababu maalum kama ugonjwa haipendezi
 
Bedroom is sacred. I cannot say this enough times.

Kaka yao si afanye na yeye.

SMDH!
 
Sawa ni Dada yake au mdogo Wa kiume ila mkiwa wote hapo home hawafanyi kazi yoyote na hawaingii rum yako ila umeondoka tu wanaingia na kutafuta chochote huko chumbani.
 
Sawa ni Dada yake au mdogo Wa kiume ila mkiwa wote hapo home hawafanyi kazi yoyote na hawaingii rum yako ila umeondoka tu wanaingia na kutafuta chochote huko chumbani.

kama ni hivyo hiyo ni tabia chafu sana,funga chumba chako wakat wote hata kama umesafiri.
 
siwanamfanyia usafi kaka yao kwa kuwa wewe haupo
 
Je ni sahihi shemeji au wifi kuingia chumbani kwako na kufanya usafi wakati upo safarini. Kwa kigezo kwamba ni chumbani kwa kaka yetu? naombeni tusaidiane katika hili
kama mimi hata kama hawataki ningewalazimisha,haiji wao wapo tu kisha mimi ndo nifanye usafi?pia itategemea na wewe mwenyewe hasa nyinyi wa dada ndo mnakuwa ng'wang'walu ila hamna shida ,kubwa wivu tu hapo hakuna lolote.
 
Bora afanye usafi wifi kuliko dada wa kazi.
 
Aaaagghhh nshapiga marufuku kiumbe yoyote kuingia chumbani kwangu hata binti yangu Naghenjwa nimemtoa baada ya kutimiza miaka miwili
 
Je ni sahihi shemeji au wifi kuingia chumbani kwako na kufanya usafi wakati upo safarini. Kwa kigezo kwamba ni chumbani kwa kaka yetu? naombeni tusaidiane katika hili

Si sahihi kabisa! Chumba chako na mkeo wenye mamlaka ya kuingia na kufanya usafi ni nyinyi wawili unless otherwise! Kwa habari ya safari hapana, mke akisafiri basi mume afanye usafi na sio dadake wala shemeji yake. Mimi chumbani kwangu wanaingia watu 4 tu, mimi, husband na watoto wetu wawili, tena wanaingia kama kuna ulazima wowote. Siku ikitokea emergency, basi wengine wanaweza kuingia
 
Nilicho jifunza tatizo linakuwa kwa mwanaume Kutokuwa na misimamo na kutokuweka mipaka na wadogo zake pindi mama mwenye nyumba akiwa mbali na nyumba. pia nidham ni ya mtu mwenyewe. asanteni kwa maoni
 
ah swali gani hili kama la kipima joto cha itv yan majibu yako waz kbsa swali halina mashiko hatuwez poteza tym kujadili ishu kama hii
 
Its seems u ar co polite au mazingira mlokulia..

Sio vzur dada/ WiFi/ shemej kufanya USAF
Ni wewe na mkeo bhaasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…