Wenzetu wameshachaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu wa awali kwa ada ya sh 600000/=
Je? katika uhalisia wa kawaida kwa maisha ya Mtanzania wa chini, kuna haki yoyote kumgharamia gharama za meal and accomodation pamoja na ada laki sita unasomea ualimu wa vitoto, vidudu au chekechea?
Wakuu serikali iliongeza ada vyuo vya ualimu maradufu kama ifuatavyo;cheti 300,000/=,stashahada masomo ya sanaa 400,000/=,stashada masomo ya sayansi 600,000/= source:mwanainchi july 28. Je stashahada ya awali watalipa sh ngapi?
Ndugu wana jamii forum,Wenzetu wameshachaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu wa awali kwa ada ya sh. 600000/= Je? katika uhalisia wa kawaida kwa maisha ya mtanzania wa chini kuna haki yoyote kughamia gharama za meal and accomodation pamoja na ada laki sita unasomea ualimu wa vitoto, vidudu au chekechea? WATOE BOOM WAACHE UJINGA
Wakuu serikali iliongeza ada vyuo vya ualimu maradufu kama ifuatavyo;cheti 300,000/=,stashahada masomo ya sanaa 400,000/=,stashada masomo ya sayansi 600,000/= source:mwanainchi july 28. Je stashahada ya awali watalipa sh ngapi?
Wenzetu wameshachaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu wa awali kwa ada ya sh 600000/=
Je? katika uhalisia wa kawaida kwa maisha ya Mtanzania wa chini, kuna haki yoyote kumgharamia gharama za meal and accomodation pamoja na ada laki sita unasomea ualimu wa vitoto, vidudu au chekechea?
Jaman mi ni mwl wa shule ya msingi nna div 3 form na baada ya kuona tangazo hili niliomba na nmechaguliwa nachingwe stashada elimu ya awali sasa hata sielewi nifanye nini