Ada juu Chuo Kikuu Tumaini.

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Chuo Kikuu Tumaini kimepandisha ada kutoka 1,500,000/= hadi 2,500,000/=.Hii haitakuwa pigo kwa walalahoi? na nini maana kwa Serikali kuondoa kodi kwa taasisi za dini?
 
What triggered this?
Serikali inatoa mkopo wa asilimia ngapi kwa mwanafunzi mmoja?
 
Chuo Kikuu Tumaini kimepandisha ada kutoka 1,500,000/= hadi 2,500,000/=.Hii haitakuwa pigo kwa walalahoi? na nini maana kwa Serikali kuondoa kodi kwa taasisi za dini?

Mimi naona sawa kwani elimu ya chuo kikuu inagharama kubwa katika kuiendesha, mfano wahadhili wanahitaji kulipwa vizuri.
 
Jamani Serikali mko wapi Vyuo binafsi wanapandisha ada wanavyotaka huku Serikali imewapunguzia kodi.Wizara ya Elimu mpo?Walalahoi watasoma kweli kwa ada hizi eti kutoka 1.5m to 2.5m asilimia sitini yote kweli.Serikali kupitia Wizara ya Elimu ichukue hatua zifaazo.Jamani wengi ni mashahidi TUMAINI UNIVERSITY imeboresha nini hadi ipandishe ada kiasi hicho.
 
Si vyuoni tu, mbona kuna sekondari ambazo ada yake ni kubwa kuliko ya baadhi ya vyuo? hilo nalo liangaliwe
 
Si vyuoni tu, mbona kuna sekondari ambazo ada yake ni kubwa kuliko ya baadhi ya vyuo? hilo nalo liangaliwe
Hicho pekee sio kigezo cha kutumiwa kuongeza ada. Kama ambavyo ada kwenye baadhi ya kindergartens imezidi gharama ya kwenye vyuo - kwa mtazamo wako, una maana ya kusema kwamba kwa kuwa ada ya chuo ni 2.5 million kwa mwaka, basi gharama za kindergaten nazo zisizidi 1 million? Ndicho unachotaka kutuambia au sivyo?

Tunahoji vigezo vilivyotumika kuongeza ada kwa 60%, kitu ambacho kwa mujibu wa muandishi hapo juu, mkuu wa KKKT ameshindwa kikiweka bayana.

Imagine mwanafunzi anaingia mwaka wa pili, mzazi wake amefunga mkanda kumpeleka mwanae hapo; ghafla linatokea ongezeko la asilimia 60 kwenye fees. Amwachishe chuo?
 
Hicho pekee sio kigezo cha kutumiwa kuongeza ada. Kama ambavyo ada kwenye baadhi ya kindergartens imezidi gharama ya kwenye vyuo - kwa mtazamo wako, una maana ya kusema kwamba kwa kuwa ada ya chuo ni 2.5 million kwa mwaka, basi gharama za kindergaten nazo zisizidi 1 million? Ndicho unachotaka kutuambia au sivyo?

Tunahoji vigezo vilivyotumika kuongeza ada kwa 60%, kitu ambacho kwa mujibu wa muandishi hapo juu, mkuu wa KKKT ameshindwa kikiweka bayana.

Imagine mwanafunzi anaingia mwaka wa pili, mzazi wake amefunga mkanda kumpeleka mwanae hapo; ghafla linatokea ongezeko la asilimia 60 kwenye fees. Amwachishe chuo?
Sawa kabisa,lakini kweli wahusika huwa wanasoma malalamiko na ushauri wa JF?
 
Naona MUHAS na UDOM wakifungua nafasi na kuchukua wadaktari 1000 kila chuo kwa mwaka..basi KCMC, Bugando, HKMU, IMTU watakufa tu..maana serikali wakati ada ni 1.5m private ni zaidi za 5.0 m yaani mara 3 ..yaani hivi vyuo vinapata wanafunzi kupitia Mikopo ili kujitajirisha???

Tuangalie tu 5 years ..nasema private hawatapata wanafunzi!!

Je kwa nini TCU isharmonize fees kwa public na private..kwani Bodi ndo hutoa Mikopo???
 
Kwa kweli kuna haja kuunda SUMATRA ya ada za vyuo vya Elimu ya juu kama kweli lengo ni kutoa fursa kwa jamii maskini nao wasome.
 
Back
Top Bottom