Actuarial science hii kozi inafundishwa udsm tuu hii kozi inahusiana na mambo ya risk, kazi zake huwa katika mashirika ya bima na sehemu zingine za hesabu kiufupi hii kozi inahitaji mtu aliye fanya vizuri hesabu na Mara nyingi uchukuliwa watu wenye division one mzuri na vilevile hii kozi inachukua watu wachache sanaSaw ila sijui career zake
Sawa mkuuActuarial science hii kozi inafundishwa udsm tuu hii kozi inahusiana na mambo ya risk, kazi zake huwa katika mashirika ya bima na sehemu zingine za hesabu kiufupi hii kozi inahitaji mtu aliye fanya vizuri hesabu na Mara nyingi uchukuliwa watu wenye division one mzuri na vilevile hii kozi inachukua watu wachache sana
Unaweza kuwa teacher wa tuition kwa primary..! Milinganyo huwa inazingua sana level zile..!Ingependeza zaidi kama mngeelezea na bsc environmental engineering ili mtu alinganishe. Mmeipamba actuarial science bila kueleza ufinyu wake wa ajira. Karibuni mifuko ya pensheni itapunguzwa na kubaki miwili tu hivyo mianya ya ajira kupungua. Ni vigumu kujiajiri na actuarial science.
Mm sijui vizuri environment engineering kazi zake hapa bongo ingawa watu wanaochaguliwa uwa na ufaulu wa kawaida hata div 2 na 3 uwa wanachaguliwa kusoma kwahiyo unavyo ilinganisha actuarial science na environment unakosea sea sana hii kozi labda ungelikanisha na petroleum engineering km unapenda kuwa engineer sio environment hata PCB wanosoma, Hv kiongozi ufaulu wako kiwango gan? tusiwe tuna jisumbua kukushauri actuarial vigezo vyako vikawa vya kusoma environmentIngependeza zaidi kama mngeelezea na bsc environmental engineering ili mtu alinganishe. Mmeipamba actuarial science bila kueleza ufinyu wake wa ajira. Karibuni mifuko ya pensheni itapunguzwa na kubaki miwili tu hivyo mianya ya ajira kupungua. Ni vigumu kujiajiri na actuarial science.
Institute na sisi tunayo tayariActuarial science hii kozi inafundishwa udsm tuu hii kozi inahusiana na mambo ya risk, kazi zake huwa katika mashirika ya bima na sehemu zingine za hesabu kiufupi hii kozi inahitaji mtu aliye fanya vizuri hesabu na Mara nyingi uchukuliwa watu wenye division one mzuri na vilevile hii kozi inachukua watu wachache sana

Division oneMm sijui vizuri environment engineering kazi zake hapa bongo ingawa watu wanaochaguliwa uwa na ufaulu wa kawaida hata div 2 na 3 uwa wanachaguliwa kusoma kwahiyo unavyo ilinganisha actuarial science na environment unakosea sea sana hii kozi labda ungelikanisha na petroleum engineering km unapenda kuwa engineer sio environment hata PCB wanosoma, Hv kiongozi ufaulu wako kiwango gan? tusiwe tuna jisumbua kukushauri actuarial vigezo vyako vikawa vya kusoma environment