ACT Wazalendo yasusa kushiriki Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Kwahani, Zanzibar

Heparin

Senior Member
Sep 24, 2021
161
605
1000042987.jpg
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.
 
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.
ccm B wamekuwaje tena?
 
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.

RASMI. Zitto hana tena nguvu ACT ..... angekuwepo lazima wangeshiriki!!
 
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.
Chama cha Hoja 😁😁😁
 
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.
Tume huru yenye MAKAMISHNA wanaoteuliwa na Mmoja wa Mgombea Urais
 
Hakuna shida hata wasiposhiriki kina AFP, DP, UMD, TLP, TPP-Maendeleo, TADEA, UDP na CCK watashiriki kikamilifu na bado utakuwa uchaguzi huru wa vyama vingi.
 
Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuujulisha umma kuwa hakitashiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Kwahani ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 08 Juni 2024.

Uamuzi huu umefikiwa na Kamati ya Uongozi Taifa kwenye kikao chake cha tarehe 15 Mei 2024 kwa kuzingatia madaraka yake chini ya Ibara ya 72A(2)(a) ya Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015 Toleo la Mwaka 2024.

Uamuzi huu umefikiwa kutokana na msimamo wa Chama chetu kuwa baada ya kupitishwa kwa Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi ya Mwaka 2024 tunahitaji Tume iliyopo ijiuzulu ili kupata Makamishna wapya na Sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi wapatikane kwa Watanzania kuomba, kufanyiwa usaili na Rais kupelekewa majina ya kuteua. Makamishna wa Tume wa sasa hawana uhalali kusimamia kuendelea kusimamia uchaguzi huu wa marudio na chaguzi zinazokuja.
Baada ya yule Ayatolah kustaafu sasa tunaona mwelekeo chanya wa siasa za upinzani!!

Mbowe naye akistaafu basi haraka sana narudisha kadi ya Chama cha Kinana
 
Back
Top Bottom