ACT-Wazalendo na ujumbe kwa wafanyabiashara

ACT-Wazalendo na ujumbe kwa wafanyabiashara

Hansen Nasli

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2012
Posts
883
Reaction score
338
UJUMBE KWA WAFANYABIASHARA.

Kama wafanyabiashara tunafanya kazi kwa nguvu na tunapambana katika kazi zetu kutengeneza mustakabali wetu na taifa pia. Kutoka wamiliki kwenda kwa mameneja wenye mitaji mikubwa, kutoka kwa wachuuzi katika mitaa ya Arusha mpaka mashirika makubwa ya Dar es Salaam, wamiliki wa gereji(karakana) mpaka viwanda vikubwa, wote hawa tunafanya kazi kwa bidii kujenga nchi yetu. Tunatengeneza ajira na mitaji, tunatengeneza bidhaa na kusafirisha mikoani, tunatoa mikopo, tunatoa bima, ushuru, miradi, na hivyo kuungana na serikali katika ubia ili kuchochea maendeleo kwa nchi yetu tunayoipenda kuona maendeleo yake. Tusipotimiza wajibu wetu juhudi zetu zitaangamia na kufifia, tunahitaji kuweka mikakati itakayoimarisha fedha yetu na kuishauri serikali kukemea makampuni dhidi ya riba ngumu zinazokuwa na mlengo wa benki za kibiashara na tunapaswa kulinda rasilimali zetu. Lakini pia, tunahitajika kulinda yote mazuri dhidi ya washindani wasio waadilifu. Kwa kujiunga na kuwa wanachama wa ACT-Wazalendo, tutakuwa na wakati mzuri wa kuinua hali ya jamii ya wafanyabiashara. Kama walipa kodi waaminifu katika sekta ya wafanyabiashara, tunawajibu wa kupaza sauti zetu tusikike. ACT-Wazalendo, Taifa kwanza!
 
Ruzuku zitawasumbua sana..nchi ya wakulima kutwa kuwakimbilia wafanyabiashara..kama ni michango si muombe tu.
Tunataka vision na maono ya kututoa kwenye umasikini siyo kutafuta ulaji.Sioni kitu kama hicho ndani ya ACT.
 
Mipango madhubutina utekelezaji kika kitu kitawezekana. ACT tunahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Tusiyumbe na kukata tamaa, everything wll be okay
 
Ruzuku zitawasumbua sana..nchi ya wakulima kutwa kuwakimbilia wafanyabiashara..kama ni michango si muombe tu.
Tunataka vision na maono ya kututoa kwenye umasikini siyo kutafuta ulaji.Sioni kitu kama hicho ndani ya ACT.
Ukiwauliza swali hao watakujibu ngoja mwenyewe aje. Yaani hicho sio chama Bali kikundi Fulani cha MTU mjanjamjanja aliyekuja mjini siku sio nyingi
 
Hivi ACT mna ndoto za kuchukua dola kweli? mjiangalie msije kwenda na MAFURIKO
 
Hivi ACT mna ndoto za kuchukua dola kweli? mjiangalie msije kwenda na MAFURIKO
Mafuriko yanawazamisha ninyi na mmekosa nguvu na kuomba msaada kwa mliowaaita mash*g, mara CCM B etc.Hapo vp tuseme mnatarajia ninyi kama ninyi kuchukua dola au mnatarajia muungano wa ccm na ninyi kupigwa dolo?!
 
Ukiwauliza swali hao watakujibu ngoja mwenyewe aje. Yaani hicho sio chama Bali kikundi Fulani cha MTU mjanjamjanja aliyekuja mjini siku sio nyingi
Unamtazamo mzuri sana wa kuonesha kiongozi wa chama ni lazima awe dj mtoto wa mjini toka zamani bila kujali anakupeleka kuf*r** au vinginevo ifananavo na hivo kwenye aibu na maumivu. Naamini wewe ni kiongozi wa CDM!
 
Ruzuku zitawasumbua sana..nchi ya wakulima kutwa kuwakimbilia wafanyabiashara..kama ni michango si muombe tu.
Tunataka vision na maono ya kututoa kwenye umasikini siyo kutafuta ulaji.Sioni kitu kama hicho ndani ya ACT.
Unataka vision gani umeng'angania ENL, wenzako wanan'angania Makomeo ndiyo stori mnasahau huko kwenye bomba la gesi ufisadi umeingia zimepigwa bilioni za Tshs zingezowasaidia hao wakulima unaosema. Acha utoto!
 
Unamtazamo mzuri sana wa kuonesha kiongozi wa chama ni lazima awe dj mtoto wa mjini toka zamani bila kujali anakupeleka kuf*r** au vinginevo ifananavo na hivo kwenye aibu na maumivu. Naamini wewe ni kiongozi wa CDM!

Tayari nishajua wewe ni wa level ipi. Haya tukana tena na tena ikamilishe furaha yako. But I think you are in the wrong ground, this is Home of great thinkers, why don't you go and play with your calibre at FB?
 
Unataka vision gani umeng'angania ENL, wenzako wanan'angania Makomeo ndiyo stori mnasahau huko kwenye bomba la gesi ufisadi umeingia zimepigwa bilioni za Tshs zingezowasaidia hao wakulima unaosema. Acha utoto!

Hueleweki ndugu killakijo..Kwa hiyo tuseme nini??tukae kimya??sababu Makomeo ndo yametumika kufunga milango ya wezi hata huko kwenye gesi..Makomeo yanakuja kutii ilani ya Chama,Chama ambacho kipo mifukoni..hiyo ni stori gani??
Deni la taifa limetoka trillioni 8 hadi trillioni 35..shillingi hoi!!unayataka Makomeo tena??
Embu kapime akili na kama ukikuta upo sawa njoo tuongee.Acha kuita watu watoto,huwajui!
 
Mafuriko yanawazamisha ninyi na mmekosa nguvu na kuomba msaada kwa mliowaaita mash*g, mara CCM B etc.Hapo vp tuseme mnatarajia ninyi kama ninyi kuchukua dola au mnatarajia muungano wa ccm na ninyi kupigwa dolo?!

Kilaza wa mwisho wewe...unajiona umeshiba na kadi yako ya CCm ehh??Ngoja Oktoba.Tatizo ni Ufinyu wa fikra na Umasikini wa watu kama nyie.Ni ujinga na ujinga mkubwa kuishi miaka 50 nchi inakata viuno pale pale hatuendi mbele..
Ningekuwa karibu na wewe ningekuramba bakola.
 
Binafsi napata shida kuona upinzani mnavutana huu ni wakati wa kuungana pamoja na kumuondoa ccm, acheni siasa za chuki.
Hivi ndugu yangu mtu kama huyo KILLAKIJO utamwita mpinzani? Mpinzani wa upinzani? Utakuwa wehu basi kuambatana na mtu wa aina hiyo. Hata vitabu vya dini vimeasa, jiepusheni kuketi kwenye mabaraza ya wapumbavu.
 
Last edited by a moderator:
Hueleweki ndugu killakijo..Kwa hiyo tuseme nini??tukae kimya??sababu Makomeo ndo yametumika kufunga milango ya wezi hata huko kwenye gesi..Makomeo yanakuja kutii ilani ya Chama,Chama ambacho kipo mifukoni..hiyo ni stori gani??
Deni la taifa limetoka trillioni 8 hadi trillioni 35..shillingi hoi!!unayataka Makomeo tena??
Embu kapime akili na kama ukikuta upo sawa njoo tuongee.Acha kuita watu watoto,huwajui!
Sio kwamba sieleweki kwa kuandika yasiyoeleweka, inaonekana akili yako imefungwa na kitu fulani kwa imani fulani ndio maana haunielewi! Hivi wapi kwenye koment yangu nimeonesha kuyataka makomeo? Siyataki, nimezungumzia wewe na wenzio wa makomeo mmekalia kulumbana ENL, Makomeo.... ENL, Makomeo na hao wote ndio waliopelekea kuwepo kwa deni hilo na ufisadi ninaousema ulopelekea shilingi kua hoi. Sasa basi issue sio ENL wala Makomeo, issue ni kuwatokomeza wote waliotufikisha hapa tunapowakumbatia hakuna kitakachobadilika mfumo wao utahama kwa kutulazimisha tukubaliane nao kwa wanavotaka. Acha kujifyatua akili kimahaba!
 
Sio kwamba sieleweki kwa kuandika yasiyoeleweka, inaonekana akili yako imefungwa na kitu fulani kwa imani fulani ndio maana haunielewi! Hivi wapi kwenye koment yangu nimeonesha kuyataka makomeo? Siyataki, nimezungumzia wewe na wenzio wa makomeo mmekalia kulumbana ENL, Makomeo.... ENL, Makomeo na hao wote ndio waliopelekea kuwepo kwa deni hilo na ufisadi ninaousema ulopelekea shilingi kua hoi. Sasa basi issue sio ENL wala Makomeo, issue ni kuwatokomeza wote waliotufikisha hapa tunapowakumbatia hakuna kitakachobadilika mfumo wao utahama kwa kutulazimisha tukubaliane nao kwa wanavotaka. Acha kujifyatua akili kimahaba!

Kwa Wengne Hawajui Vita Inahusu Nin, Nan Adui Na Nan Mkombozi,nan Kaja Kwa Maslah Na Nan Alipgana Kwa Maslah Ya Wengi,,,hata Kama Tunataka Mabadliko Tuangalie Na Muongoza Mapinduz,,,historia Ni Mwalimu Mkuu,,, Enl Anaipenda Ccm Ndo Mana Alikubali Kuomba Kuteuliwa Na Chama Chake,, Hof Ipo Hapo,,,nch Haitatawaliwa Kwa Visas Na Kukomoana
 
Back
Top Bottom