ACT-Wazalendo na NCCR-Mageuzi walaani vikali kukamatwa kwa Freeman Mbowe

inaonekana hawa viongozi hawajitambui au wamejitoa ufahamu!
hawajui huyo Mbowe anakabiliwa na shitaka la Ugaidi? halafu wanalishinikiza jeshi la polisi kuwa wamwachie huru!! kwani ametekwa?! halafu wao wanapata ujasiri wapi wa kuingilia vyombo vya dola pale vinapo tekeleza wajibu wao? mbona alipo kamatwa sabaya alilipongeza jeshi la polisi kwa kuchukua hatu? Huyu jama ndio wanafiki wenyewe hawa, ndumila kuwili.
Sheria ni msumeno leo sabaya kesho Mbowe n.k.
SABAYA ni kituko cha karne hii.
DC kufikishwa mahakamani kwa jambazi/uporaji wajameni, analinganishwaje na anaeongoza wanaosaka Katiba Mpya.
Hivi ma CCM ndio mmeishiwa uwezo wa kutafakari kiasi hicho?
Mlichohitaji ni kujitafakari sana ili kujua KITU kama hiki kilipataje uteuzi wa Rais.
 
Wacha upuuzi, inajulikana wazi vyombo vya dola nchi hii vinatumiwa na CCM kwa maslahi yake, hiyo tabia mnayo toka enzi wakati huo ukiwa unanyonya, Mbowe kudai haki yao kisheria kuandaa kongamano mkaona dawa ni kumkamata na kumfungilia mashtaka ya uongo ili muwaondoe kwenye lengo lao, kwenye hili mtafeli kama mlivyofeli siku za nyuma.
mkuu unapoteza muda kuongea na hawa akina Nikki wa pili
 
SABAYA ni kituko cha karne hii.
DC kufikishwa mahakamani kwa jambazi/uporaji wajameni, analinganishwaje na anaeongoza wanaosaka Katiba Mpya.
Hivi ma CCM ndio mmeishiwa uwezo wa kutafakari kiasi hicho?
Mlichohitaji ni kujitafakari sana ili kujua KITU kama hiki kilipataje uteuzi wa Rais.
kwa sasa Mbowe ni Gaidi namba 1 Tanzania.
kiongozi gani anaye panga mipango ya kuuwa binaadamu wenzake?!
anatafuta madaraka kwa kuangamiza roho za wengine!!
 
He ran away to Mwanza to deceive the public into believing that he was arrested because of the symposium they were preparing to hold to discuss constitutional review issues
 
kwa sasa Mbowe ni Gaidi namba 1 Tanzania.
kiongozi gani anaye panga mipango ya kuuwa binaadamu wenzake?!
anatafuta madaraka kwa kuangamiza roho za wengine!!
Peleka ushahidi ulionao ili uwasaidie wenzio wanaohangaika kubumba mashitaka. Usisahau kumshirikisha Madelu.
 
Labda viundwe vyama vipya vya siasa vya upinzani na wapinzani wa kweli siyo hawa wachumia tumbo akina Mbowe, Mbatia, Zitto, Mrema, Cheyo n.k ambayo wamegeuza vyama kuwa mali zao binafsi hawataki kupisha wenye mawazo mapya kuongoza vyama hivyo. Halafu kila siku wanaimba hakuna demokrasia nchini wakati wao ndani ya vyao vyao vya siasa wamegeuka kuwa wafalme a.k.a TEAM MUGABE 😀 😀 😀 😀
Hayo mawazo yako ni kwa sababu ya ufinyu wa akili ulizonazo, huenda zikapanuka ukiongeza umri!
 
inaonekana hawa viongozi hawajitambui au wamejitoa ufahamu!
hawajui huyo Mbowe anakabiliwa na shitaka la Ugaidi? halafu wanalishinikiza jeshi la polisi kuwa wamwachie huru!! kwani ametekwa?! halafu wao wanapata ujasiri wapi wa kuingilia vyombo vya dola pale vinapo tekeleza wajibu wao? mbona alipo kamatwa sabaya alilipongeza jeshi la polisi kwa kuchukua hatu? Huyu jama ndio wanafiki wenyewe hawa, ndumila kuwili.
Sheria ni msumeno leo sabaya kesho Mbowe n.k.
mbavu zako
 
Mipango ya kumuangamiza Mbowe na kuua CHADEMA ilishapangwa na Mwendawazimu kabla ya kifo chake.
Samia na GENGE lake wanatekeleza tu legacy, baada ya kuona CCM haiwezi tena kusimama kwenye uwanja sawa wa siasa.

Hao madalali wawili wanaandaliwa kuwa ”vyama vikuu vya kinafiki vya Upinzani”
Ili MABEBERU watoe pesa. Kama sio Mabeberu kukomalia demokrasia ndio wakupe hela yao, CCM wangeshafuta hii sheria ya siasa nchini.

Nchi imeshaharibiwa hii na MaCCM kwa ULAFI naUFISADI wa pesa za Mabeberu.
Mbowe kaua wengi. Niliwahi kusema iko siku yatakuwa wazi. Risasi za Lissu sasa zitafahamika zilipigwa na nani.
 
huyu Gaidi alitakiwa ahamishiwe Guantanamo Bay Detention camp.
ni vyema Jeshi letu likashirikiana kwa karibu sana na interpol kwaajili ya upelelezi zaidi.
 
Ndio vimeamka leo ? Wakati wa harakati za kuandaa makongamano mbona walikuwa kimya, kama vile katiba mpya sio kipaumbele chao🐒
 
Back
Top Bottom