Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wamelaani kukamatwa kwa Freeman Mbowe na wenzake na kulitaka Jeshi la Polisi kuwaachia bila masharti yoyote.