ACT-Wazalendo mwisho wake 30/06/2015

ACT-Wazalendo mwisho wake 30/06/2015

Kicheba One

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
399
Reaction score
194
Wanajamvi,

Kila siku zinavyokwenda chama cha ACT kitakufa mapema sana 30/06/2015 na hakitashiriki uchaguzi Mkuu mwaka huu
Sababu hizi hapa.

1: Mgogoro wa nani ni ACt halisi kati ya ACT wazalendo ya zitto na ACT Tanzania ya Limburg

2: Kutangaza kuwa lowassa akienguliwa ccm wanamkaribisha agombee urais militia Act -hapa wametangaza mgogoro na wafadhili wao ECCM

3:Kutagaza wabunge 50 watajiunga naACT baada ya binge kuvunjwa wametangaza vita na vyama vyote kwakua hawajasema wanatoka chama gain

4:Katibu Mkuu wao mwigamba aliwahi kutangaza kuwa wataisambaratisha cuf mikoa yote ya kusini na pwani hapa wana mgogoro na cuf

5:Kiongozi Mkuu wa act kuebua mgogoro na mmiliki wa IPP media hivyo amegombana na media

6:Act kutegemea mshambuliaji mmoja Zitto na kuwanyima fursa wengine akiumia Mkuu wa chama itakuwa mwisho wa act kwakua Mkuu wa chama hawapi nafasi wengine

7: Kunyakuwa wanachama wa Ukawa waliochoka ambao walidumaza upinzani kwa uvivu wakutofanya kazi walipokuwa Ukawa

8:Kupambana na Chadema isiyokuwa na dola na kuicha ccm ikipumua kwa raja

9: kiongozi wao Mkuu aliwahi kusema muungano wa ukawa ni wawasakatonge

10:kiongozi wao Mkuu asipotoka kujenga chama hakuna MTU mwengine je Mkuu wa chama akiumwa itakuwaje?
 
Mwaka mbaya sana huu kwa wale vifuata upepo na watumikaji,mwishowe mtakosa pa kwenda!!!
 
Wanajamvi,

Kila siku zinavyokwenda chama cha ACT kitakufa mapema sana 30/06/2015 na hakitashiriki uchaguzi Mkuu mwaka huu
Sababu hizi hapa.

1: Mgogoro wa nani ni ACt halisi kati ya ACT wazalendo ya zitto na ACT Tanzania ya Limburg

2: Kutangaza kuwa lowassa akienguliwa ccm wanamkaribisha agombee urais militia Act -hapa wametangaza mgogoro na wafadhili wao ECCM

3:Kutagaza wabunge 50 watajiunga naACT baada ya binge kuvunjwa wametangaza vita na vyama vyote kwakua hawajasema wanatoka chama gain

4:Katibu Mkuu wao mwigamba aliwahi kutangaza kuwa wataisambaratisha cuf mikoa yote ya kusini na pwani hapa wana mgogoro na cuf

5:Kiongozi Mkuu wa act kuebua mgogoro na mmiliki wa IPP media hivyo amegombana na media

6:Act kutegemea mshambuliaji mmoja Zitto na kuwanyima fursa wengine akiumia Mkuu wa chama itakuwa mwisho wa act kwakua Mkuu wa chama hawapi nafasi wengine

7: Kunyakuwa wanachama wa Ukawa waliochoka ambao walidumaza upinzani kwa uvivu wakutofanya kazi walipokuwa Ukawa

8:Kupambana na Chadema isiyokuwa na dola na kuicha ccm ikipumua kwa raja

9: kiongozi wao Mkuu aliwahi kusema muungano wa ukawa ni wawasakatonge

10:kiongozi wao Mkuu asipotoka kujenga chama hakuna MTU mwengine je Mkuu wa chama akiumwa itakuwaje?

Umevurugwa si bure.
 
...mengine yote yanaweza yasitokee lakini hapo kwenye namba 10 ndo hata mimi wasi wasi wangu ulipojikita coz sinauhakika kama hilo likitokea kuna mtu mwingine kwenye hako kagenge anayejua kipaza sauti kiwashiwa wapi...
 
Back
Top Bottom