ACT-Wazalendo Dar kufanya maandamano ya amani kumuunga mkono Rais Magufuli

Hiki chama kimejaa uzalendo mtupu. Zitto atleast tunaona kwenye makosa anakosoa kwenye mazuri anasifia hizi ni siasa mpya kabisa za upinzani Tanzania na nna uhakika kwa uongozi huu wa Magufuli Zitto ndio mpinzani atayeeleweka na raia.

Mlisimamisha Wagombea Ubunge kila Jimbo hivi mlishinda Majimbo mangapi vile? na Urais mgombea wenu alipata kura asilimia ngapi vile?
 

nchi nzima mbunge mmoja hata aibu zito aoni msaliti
 
Kuna uzalendo na kuna unafiki. Uzalendo ni kuandamana kushinikiza majibu juu ya suala la Zanzibar. Unafiki ni kuunga mkono mambo ambayo tayari yanafanywa. Wangekuwa wapo serious wangeandama kabla. Hii inaitwa...."jumping on the bandwagon"
 
ndio tunataka upinzani wa kweli sio upinzani wa uhasama na kununuliwa kwenye ukweli semeni kwenye matatizo semeni
 
Hivi jeshi la polisi limeshaanza kuruhusu mikusanyiko ya kisiasa? Maana tuliambiwa imepigwa marufuku hadi itakapotangazwa maana hali nchini bado ni tete kufuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.

Imekatazwa ya wapinzani bali ya ccm na wapambe wao ni ruksa.
 
Act wazalendo kinacho ongozwa na MH.Zitto kabwe ni chama kisicho kuwa na Msimo hasa kwa kiongozi wake Mkuu Zitto Kabwe ambae maranyingi amekua akikaririwa na Kuonekana Nimtu wakubadilika badilika Hasa kwa Issue kama ya Urais Zanzibar

Nirahisi sana kwa Act kufanya Maandamano ya kumpongeza makufuli ila siyo rahisi kwa Act kufanya Maandamano ya kumtaka Magufuli atatue Mgogoro wa Kisiasa unaoendelea Zanzibar

Kwakua wao hufanya jambo kwa kuipendeza ccm ila siyo kuiwajibisha serikali.
Hivyo napenda kumshauri Zitto ajiandae kisaikolojia kupokea kikombe kama cha mrema cheyo na sibuda.
 
ww jamaa ebu wacha ACT wafanye yao umeandika utumbo mtupu au kugombea maiti kumekuchanganya
 

ccm-act= concubinage
 
ACT na CCM ndio wale wale, watanzania msidanganywe na tofauti ya kijani na zambarau!
 
Kila chama kina misingi yake yakufikisha hisia zake kwa wananchi, pia si lazima ukubali wanalolifanya act, maana wako huru nje kabisa ya ukawa...zitto lazima awe mbunifu kukitangaza chama...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…