Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Katika hali ya kushangaza, mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT Megro Mollel amegoma kusaini matokeo ya uchaguzi japo amepata kura 342 tu kati ya kura halali 104,353 kwa kila alichodai kwanini Lema kashinda bila kutaja sababu ya malalamiko yake.
Katika uchaguzi huo mgombea wa CHADEMA. Godbless Lema ameshinda kwa kura 68,848 akifuatiwa na Amon Mollel wa CCM kwa kura 35,907
Katika uchaguzi huo mgombea wa CHADEMA. Godbless Lema ameshinda kwa kura 68,848 akifuatiwa na Amon Mollel wa CCM kwa kura 35,907