ACT, Msajili wa vyama kawatengenezea njia ya kudai Reforms. Ni hapa hapa no Golden chance again

ACT, Msajili wa vyama kawatengenezea njia ya kudai Reforms. Ni hapa hapa no Golden chance again

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,990
Reaction score
3,821
Ni hapa hapa unganeni na Chadema kudai Reforms.

Mnakumbuka kada mmoja wa CCM aliandika barua ya kulalamika kwamba Samia Hana sifa ya kugombea akapuuzwa na msajili Hadi akafungua kesi mahakamani?

Mpaka sasa hakuna majibu ya kesi hiyo na Kuna dalili kwamba ikapigwa chini. Sasa huu moto wa mpina kutenguliwa kugombea na msajili wa vyama ndiyo ilikuwa kete sahihi ya ku spark reforms kwasababu taasisi zote zinazo gusa uchaguzi zimewekwa mfukoni. Kama zinaona makosa ya wengine ya chama dola hazioni sasa mnataka Nini tena.

Sina mengi.

"Hasta la victoria siempre" i
 
Ni hapa hapa unganeni na Chadema kudai Reforms.

Mnakumbuka kada mmoja wa CCM aliandika barua ya kulalamika kwamba Samia Hana sifa ya kugombea akapuuzwa na msajili Hadi akafungua kesi mahakamani?

Mpaka sasa hakuna majibu ya kesi hiyo na Kuna dalili kwamba ikapigwa chini. Sasa huu moto wa mpina kutenguliwa kugombea na msajili wa vyama ndiyo ilikuwa kete sahihi ya ku spark reforms kwasababu taasisi zote zinazo gusa uchaguzi zimewekwa mfukoni. Kama zinaona makosa ya wengine ya chama dola hazioni sasa mnataka Nini tena.

Sina mengi.

"Hasta la victoria siempre" i
Nan sasa wakuungana na CDM? Act ni ccm kwa mzee wa pilau ni tawi la ccm vyama vingine ni shikizi tu havina impact yoyote!!
 
Back
Top Bottom