Hakuna neno.....ametoka upinzani ameenda upinzani....
Ni kama alivyofanya Kafulila...katoka NCCR kenda CDM.
Sote lengo ni moja tu...kuitoa CCM madarakani.....
Njia tunazotumia kuitoa ni tofauti...wengine wanatumia gari...wengine baskeli......ukiwa ACT ni kama unatumia ndege kufika kule uendako (uharaka)