Mtabiri?Hakuna neno.....ametoka upinzani ameenda upinzani....
Ni kama alivyofanya Kafulila...katoka NCCR kenda CDM.
Sote lengo ni moja tu...kuitoa CCM madarakani.....
Njia tunazotumia kuitoa ni tofauti...wengine wanatumia gari...wengine baskeli......ukiwa ACT ni kama unatumia ndege kufika kule uendako (uharaka)
Kashindwa kustahimili ukata. Kujenga chama yataka moyo.Wimbi la wanachama waandamizi wanaokihama chama cha ACT WAZALENDO Kwa Siku za karibuni limezidi kuongezeka baada ya muasisi na kiongozi mashuhuri wa chama hicho jumbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Mwalimu Gasper Shoo kuamua kurejea CHADEMA.
Shoo ambaye hajatangaza rasmi Simu ya kuhamia Chama chake cha Zamani, amenukuliwa Mara kadhaa akitamka kuwa ameshamaliza taratibu za msingi za kuhamia Chadema na wanachosubiri tu ni muda. 'It is a matter of time tu broo....' Alisema Shoo.
Kwa Simu za Karibuni, jinamizi la kukimbiwa na wanachama wake limekuwa likiiandama
Yes,unajua mkuu tukiacha ushabiki,Zitto na CDM kila mmoja anamuhitaji mwingineACT works best with CDM, kuna haja ya Zitto kukaa na CDM na kuzungumza, Zitto will thank me for this ....
Hivi yule babu wa kutetemekea MIC bado yupo Chadema?!..... [HASHTAG]#Tafakarikwakina[/HASHTAG]Wimbi la wanachama waandamizi wanaokihama chama cha ACT WAZALENDO Kwa Siku za karibuni limezidi kuongezeka baada ya muasisi na kiongozi mashuhuri wa chama hicho jimbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Mwalimu Gasper Shoo kuamua kurejea CHADEMA.
Shoo ambaye hajatangaza rasmi Siku ya kuhamia Chama chake cha zamani, amenukuliwa Mara kadhaa akitamka kuwa ameshamaliza taratibu za msingi za kuhamia Chadema na wanachosubiri tu ni muda. 'It is a matter of time tu broo....' Alisema Shoo.
Kwa Simu za Karibuni, jinamizi la kukimbiwa na wanachama wake limekuwa likiiandama
Zitto ndie muhitaji mkuuYes,unajua mkuu tukiacha ushabiki,Zitto na CDM kila mmoja anamuhitaji mwingine
Kuna watu walimpotosha Zitto, and if want to know anything, ana loyal followers wengi sana CDM kuliko hata huko ACT....Yes,unajua mkuu tukiacha ushabiki,Zitto na CDM kila mmoja anamuhitaji mwingine
Act ni kundi la wahuni tuWimbi la wanachama waandamizi wanaokihama chama cha ACT WAZALENDO Kwa Siku za karibuni limezidi kuongezeka baada ya muasisi na kiongozi mashuhuri wa chama hicho jimbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Mwalimu Gasper Shoo kuamua kurejea CHADEMA.
Shoo ambaye hajatangaza rasmi Siku ya kuhamia Chama chake cha zamani, amenukuliwa Mara kadhaa akitamka kuwa ameshamaliza taratibu za msingi za kuhamia Chadema na wanachosubiri tu ni muda. 'It is a matter of time tu broo....' Alisema Shoo.
Kwa Simu za Karibuni, jinamizi la kukimbiwa na wanachama wake limekuwa likiiandama
Cc:mcubicWimbi la wanachama waandamizi wanaokihama chama cha ACT WAZALENDO Kwa Siku za karibuni limezidi kuongezeka baada ya muasisi na kiongozi mashuhuri wa chama hicho jimbo la Chalinze mkoa wa Pwani, Mwalimu Gasper Shoo kuamua kurejea CHADEMA.
Shoo ambaye hajatangaza rasmi Siku ya kuhamia Chama chake cha zamani, amenukuliwa Mara kadhaa akitamka kuwa ameshamaliza taratibu za msingi za kuhamia Chadema na wanachosubiri tu ni muda. 'It is a matter of time tu broo....' Alisema Shoo.
Kwa Simu za Karibuni, jinamizi la kukimbiwa na wanachama wake limekuwa likiiandama
Act siyo chama cha upinzaniHakuna neno.....ametoka upinzani ameenda upinzani....
Ni kama alivyofanya Kafulila...katoka NCCR kenda CDM.
Sote lengo ni moja tu...kuitoa CCM madarakani.....
Njia tunazotumia kuitoa ni tofauti...wengine wanatumia gari...wengine baskeli......ukiwa ACT ni kama unatumia ndege kufika kule uendako (uharaka)
Act hakina zaidi ya miezi 6 kitakuwa kimebakia kwenye t shirts zenu tuHakuna neno.....ametoka upinzani ameenda upinzani....
Ni kama alivyofanya Kafulila...katoka NCCR kenda CDM.
Sote lengo ni moja tu...kuitoa CCM madarakani.....
Njia tunazotumia kuitoa ni tofauti...wengine wanatumia gari...wengine baskeli......ukiwa ACT ni kama unatumia ndege kufika kule uendako (uharaka)
Cc:mcubicBora kife