ACT kujiunga UKAWA


Ukawa wanapaswa kufahamu kirusi cha usaliti kilichoko ACT hakina chanjo wala dawa. Wajihadhari sana.
 
Last edited by a moderator:
Mbowe, Lipumba na Mbatia hakika tutawapiga mawe mukithubutu kuwaleta hawa malaya wa kisiasa
 
Hatuungani na vyama vya kidini, chadema wakristo, cuf waislam
 
Mimi Nachoweza kusema leo hii ni kwamba, kama kweli ACT wanataka kujiunga na UKAWA basi familllah na iwe maana hakuna ushindi juu ya CCM pasipo upinzani kuwa kitu kimoja.
 
Mie pamoja na kwamba sipendi mienendo ya Zitto kisiasa lakini napingana na wewe kumtakia maisha mafupi, wewe huna ubia na Mungu ningeomba ufute kauli yako.
 
mkuu kwanini usiwashauri wajiunge CCM?
tpaul, kama usipokuwa makini na hizi siasa utapata shida sana maana siku zote utakuwa wakuburuzwa.
nisome vizuri nilichokiandika;
cuf na nccr waliitwa ccm b and c respectively. leo hii ni washirika wakuu wa kadima-nilini hao cuf na nccr wameache kuwa ccm b na c? kama ni serikali ya umoja kule nchi jirani (zenji) bado upo vile vile? au ni nini kimebadilika kwa hivyo vyama?
kafulila. machali na mkosamali walifukuzwa kwa usaliti na kuitwa ni sisimizi tu, leo hii kafulila yupo kwenye baraza kivuli lililoundwa na chadema, Prof safari na lwakatare waliitwa vibaraka wa ccm kule cuf leo hii ni viongozi waandamizi chadema/ukawa?
achilia mbali akina hamad rashid na wengineo. HUJIFUNZI KITU HAPA? Kwa michango yako unayotoa humu I'm sure you can do more than that.
achana na akina molemo na washirika wao wanaopiga propaganda humu. unless na wewe si miongoni mwao.
 

mkuu Abunuas unapaswa kutambua kwamba hakuna adui/rafiki wa kisiasa wa kudumu. haya mambo huzingatia zaidi wakati.
 
Last edited by a moderator:
Umeshaweka msingi imara wa nondo na kokoto umepandisha ukuta wako Kwa matofali madhubuti ya umeme, ili nyumba yako iwe imara then ghafla mtu anakuja kukushauri eti uweke rinta ya fito na matope!! inakuja akilini hiyo!!

hahaha ahsante capitein!!
 
...watangaze kwanza anayekigharamia chama kama walivyotangaza mali za viongozi wao ili watuondilee ule mshangao wa kumkuta mbwa juu ya mti...
 
Waende Zao Kule Watu Tuko Bize Kuutafuta Ukombozi, Wengine Wanatutekenya Ili Tuwachekee, Kama Alitaka Muungano Wa Ukawa, Kwanini Alianzisha Chama Chake? Na Kwanini Aliondoka Ukawa, Yaani Mtu Uondoke Kwa Mmeo Alafu Ukaolewe Kwingine Alafu Uanze Kutafuta Urafiki Na Ile Familia Unataka Umuue Mmeo, Hatutaki Tumeshtuka.
 
Kwa nyomi hili hata act hawata kubali kirahisi hivo kama mtaji mmeuona. Anzia songea alafu tiririkaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…