ACT kujiunga UKAWA


Hayo maneno unauhakika nayo? pengine mtu anaweza kuikubari sheria inayo pingwa na wana mitandao kwa mambo kama haya
 

Nikiwaangalia viongozi wote wakuu wa ACT [hasa Mkumbo, ZZK, Mwigamba..et al] NAPATA HASIRA saana! Sitamani hata kusikia wakiongelewa ktk hadhara!, Wala isitokee wakae ktk picha ya pamoja na WanaMapinduzi wa UKAWA, itakuwa 'kula matapishi', sembuse kuungana nao! Tusisahau maumivu kwa haraka hivyo...! HAO NI WALAFI, WASALITI na WAPENDA 'MAJINA MAKUBWA' na SIFA, badala ya kuunganisha nguvu, wanataka wao wakae mbele!!
 
Hoja ya kuwapelekea watoto wa darasa la kwanza,usaliti wa zzk ni upi mbona mnaropoka,au shule zenu ndio za kununua paper,eti act ni wasiliti,MNAKERA WAPUUZI WAKUBWA

mbona povu linakutoka hivyo? tulia sindano ziingie vizuri.
 
Zitto afanye kazi na Mrema!! wana fikra na mitazamo inayoendana. (ACT = TLP)
 
Bado mtateseka sana subiri ACT wazalendo walizindue azimio la Arusha ili watangaze uzalendo. Hivyo vyama ambavyo viongozi wenu wanafanya business na chama hatuvitaki ni vya kifisadi na act inapinga ufisadi kwa vitendo.

mbona povu linakutoka hivyo?
 

Uko sawa kwa hili huenda ni mbinu ya Kuimaliza UKAWA ukizingatia chama cha ACT kinaundwa na WASALITI WOTE.
 
Mnaotabili tabili uongo kwenye jukwaa hili muache,ACT ni ya watanzania wote,ni ya wazalendo.Haina ukanda wala udini.....!ilihali CHADEMA wenyeviti tangu ianze wote ni wa kilimanjaro kaskazini na ukileta ubishi wanakuharibu na utajutia kujiunga nao

mbona unajenga hoja nje ya mada? tuliza munkari sindano ziingie.
 
Mtoa mada inaonekana bado unampenda sana zitto,huyo kshatoka hata uandke vp. Act haipo kama akili yako inavyowaza dogo.

bado hujanielewa...hebu rudia tena kusoma andiko langu.
 

Nakupa 10/10; uko sahihi kabisa asilimia 100; zitto, mwigamba na mkumbo na wasaliti wengine wote kufanya nao kazi ni kula matapishi; hususani CDM ambaye ndiye mshirika mkubwa katika UKAWA. Alliance for Cowards and traitors wawe wakweli kwa dhamira zao; wafanye kazi na CCM na kale kachama ka mbunge msaliti mwenzao wa Wawi.
 
ACT ni wachumia tumbo tu hawana lolote,ZZK amekuwa kama mfalme Mswati hongera yake.maaana wanafanana sifa zao.

ina maana unataka kusema zzt naye anapenda totoz ama?
 
Zitto hafai kuwa kiongozi ni msaliti mkubwa!!!

Kwa mara ya kwanza hebu mtueleze Zitto aitwapo Msaliti huwa mnamaanisha nini hasa? Kweli huwa sielewi kabisa, wakati mwingine najijazia majibu mwenyewe kwamba Pale anapotangaza Maovu ya CDM ndiyo huitwa Msaliti. Kama ndiyo ilivyo basi hakuna haja ya kuwa Upinzani nchini ikiwa mambo yao yote yanafanana, kufuga waovu. Ndivyo mnavyotafsirika, si kosa langu.
 
Umeshaweka msingi imara wa nondo na kokoto umepandisha ukuta wako Kwa matofali madhubuti ya umeme, ili nyumba yako iwe imara then ghafla mtu anakuja kukushauri eti uweke rinta ya fito na matope!! inakuja akilini hiyo!!
 
Ukawa Kikundi kitakatifu, ukawa sio pango la wasaliti, Zitto aogopwe kama ukoma
 
Hatuwataki act huku ukawa,waende kwa maccm wenzao .
 
act ijiunge tu na wafadhili wao wakubwa ambao ni ccm
 

Swali lako peleka Lumumba kwa wafadhili wa act
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…