nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
mbona hata cuf walikuwa hivyo kipindi fulani??
Ha ha ha ha ha ha, nani atakubali virusi kwenye umoja makini kama UKAWA!
Bado mtateseka sana subiri ACT wazalendo walizindue azimio la Arusha ili watangaze uzalendo. Hivyo vyama ambavyo viongozi wenu wanafanya business na chama hatuvitaki ni vya kifisadi na act inapinga ufisadi kwa vitendo.Kuna taarifa za chinichini kwamba ATC wanakusudia kujiunga na UKAWA ili kuongeza nguvu ya upinzani dhidi ya CCM. Hii ni kwa sababu ACT wanaamini katika umoja na mshikamano na wanatambua kwamba UMOJA NI NGUVU. Nakumbuka siku Zitto alipozindua ACT alisema chama hiki hakina uadui na chama chochote. Nadhani alikuwa anajenga mazingira ya kutaka kuungana na UKAWA baadaye ili kuongeza nguvu katika safari ya kuelekea Magogoni.
MAONI YANGU
Kwa kuwa viongozi wa ACT wana chembechembe za usaliti, nawashauri UKAWA wasiwakubalie ACT kujiunga nao. Nina hofu huenda ACT wanatumiwa na CCM kutaka kuwavuruga UKAWA. Kuweni na hao wasaliti.
:israel:
wewe ni sawa na wale walio mjengoni wakuitikia tu ndiooo.... Pasipo jua kitu wanacho kiitikia
ninachokumbuka hata CUF iliitwa CCM B na TLP iliitwa CCM C lakini leo hii sote ni mashahidi ya kinachoendelea.
Prof. Safari na Lwakatare waliitwa wasaliti CUF wakahamia chadema, Kafulila, machali na mkosamali waliitwa wasaliti chadema wakahamia NCCR lao hii sisi sote ni mashahidi. NA hata hamadi rashid nae aliitwa kibaraka wa ccm. LAKINI HAMJIFUNZI TU. LABDA HUKO SHULENI MLIENDA KUJIFUNZA UPUMBAVU.
kuileta act ukawa ni sawa na kuileta adc ukawa ni ndoto ya mchana kweupe, zitto alishasema ukawa wasaka tonge
mnaotabili tabili uongo kwenye jukwaa hili muache,act ni ya watanzania wote,ni ya wazalendo.haina ukanda wala udini.....!ilihali chadema wenyeviti tangu ianze wote ni wa kilimanjaro kaskazini na ukileta ubishi wanakuharibu na utajutia kujiunga nao