ACT-Kigoma wararuana kisa ubunge

Huyo jamaa hamna kitu yupo huwa anashinda awimo bar tu na ni mwanafunzi wa sauti campus ya mwanza na alimalizia Newman college/kihinga form six kwa manati atamuongoza Nani?kwanza ni promo tu hiyo mxiuuuuuuuuuuw
Mkuu iweke sawa kidogo aka minofu.
 
`nyoka aliyejificha ni mbaya na hatari sana kuliko nyoka anayeonekana'
ACT ni nyoka anayeonekana,hivyo tutamuua hata kwa mabua!!
 
Tunashukuru kwa taarifa , swali la nyongeza , kwahiyo kwa mujibu wa hayo makubaliano serukamba ndio ataenda kugombea kigoma kaskazini ? Hakika laana ya usaliti ni mbaya mno !
 
Zit toakithubutu kugombea Kigoma ataibika siyo kawaida maana atashundwa kwa kishindo.
 
Zitto akithubutu kugombea Kigoma ataibika siyo kawaida maana atashundwa kwa kishindo.
 
Duh ikifikia hatua mpinzani anabadilishana jimbo na chama tawala basi ni disaster

Eti anasema Kigoma kas walimpa kura chache 2010 coz ya dini yake,nao wakamwuliza 2005 walikuwa hawaijui dini yke ?na kuahidi kumnyima kura 2015 that y Zitto kaamua kwenda kwa wenzake
 
Eti anasema Kigoma kas walimpa kura chache 2010 coz ya dini yake,nao wakamwuliza 2005 walikuwa hawaijui dini yke ?na kuahidi kumnyima kura 2015 that y Zitto kaamua kwenda kwa wenzake

Zitto kama alisema hvyo basi ni mtu hatari wa kuogopwa.
 

heading mbovu kabisa hakuna mtiririko mzuri wa habari.yaani umepachika pachika tu maandishi utafikir hiyo degree hujasomea SAUT!?
 
Naona uzi zinazomhusu ZZK ninauzika sana. Na mimi nitaanza kumuandika ili nijulikane.
 
heading mbovu kabisa hakuna mtiririko mzuri wa habari.yaani umepachika pachika tu maandishi utafikir hiyo degree hujasomea SAUT!?

We unafikiri kwa nini kila chombo cha habari kinakuwa na wahariri?hapa jeshi la mtu 1
 
Zitto akithubutu kugombea Kigoma ataibika siyo kawaida maana atashundwa kwa kishindo.

Kweli mkuu kwa sasa amepoteza mvuto sana kisiasa,kule kwake amemkimbia kamanda Dr Yaledi Mfubusa msomi wa kimataifa,Zitto alijiona kwamba yeye ndo mwenye ubongo wenye kuweza kufikiria kuliko wakazi wa Kigoma wote.sasa amebaki kubung'aa hajui aende wapi amebakia kumlaumu Mkumbo kwa kumshauri vibaya na kumlaumu Mwigamba kwa kufanya uzembe wa kukamatwa na Pc yenye doc za usaliti zote
 
Zitto kama alisema hvyo basi ni mtu hatari wa kuogopwa.

Wakristo wa Kigoma Kaskazini walimwuliza kwamba anasema hawamtaki kutokana na dini yake,je 2005 walikuwa hawaijui dini yake?walipomchagua kwa kishindo?imebidi akimbie tu
 
Mmeshindwa ile move ya Limbu,amekula pesa zenu na mwisho ACT imesimama.

Sasa ni tunamalizia uchaguzi ndani ya chama na tarehe 29/03/2015 tutazindua chama rasmi na kuanza oparation za uzinduzi wa chama.

Hayo ndiyo yanayowazwa na ACT kuliki huo upuuzi ulioandika
 
Jamaa nao wanatumia "kanda" kweli alieanza kaanza! Wana-copy na ku-paste toka kwa baba yao.
 


Uchaguzi gani huo unaoendelea wakati hapa wilayanu Kibondo hakuna ACT
 
Mkuu Ben ukimsoma vizuri mtoa mada hapo juu utagundua ni Mogha mwenyewe. Anyway tuwaache na siasa zao tuuone mwisho wao

Uko sahihi kaka!! Mogha Hana uzalendo wowote, ni Mpenda sifa na madaraka ya umri mdogo mwaka juzi alikua chadema Leo yupo Act, Mwambie arudi shule..... Ajipange upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…