Pacbig
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 1,095
- 2,079
Katika pitapita zangu nimegundua mambo ya zamani mara nyingi (japo sio zote) huwa yanapendwa kuliko ya sasa sijui sababu ni nini.ngoja nitoe mifano.
Ukileta battle ya mfano Mr bean vs Charlie Chaplin watu watakuambia Chaplin mkali.japo wamemuona zaidi Mr bean.
Ukileta battle ya Messi vs Maradona wengi watadai Maradona japo wengine hawakuwahi hata kumushuhudia Maradona mwenyewe.
Ukimulinganisha Keisha Cole na Taylor swift watu watadai keisha cole mkali.
Magufuli na nyerere,Nyerere ni bora wakati wengine kipindi nyerere akiwa madarakani walikuwa hawajazaliwa.
Marijan Rajab na Diamond ni vilevile.
Sasa nawachana muache ushamba wa kushabikia na kuamini kila kitu cha zamani ni kizuri kuliko cha sasa.Ndo maana mnaona hata doggy style ni mbaya ila mnataka kuisifia kifo cha mende.
Acheni mambo ya kizamani tuacheni na usasa wetu.
Ukileta battle ya mfano Mr bean vs Charlie Chaplin watu watakuambia Chaplin mkali.japo wamemuona zaidi Mr bean.
Ukileta battle ya Messi vs Maradona wengi watadai Maradona japo wengine hawakuwahi hata kumushuhudia Maradona mwenyewe.
Ukimulinganisha Keisha Cole na Taylor swift watu watadai keisha cole mkali.
Magufuli na nyerere,Nyerere ni bora wakati wengine kipindi nyerere akiwa madarakani walikuwa hawajazaliwa.
Marijan Rajab na Diamond ni vilevile.
Sasa nawachana muache ushamba wa kushabikia na kuamini kila kitu cha zamani ni kizuri kuliko cha sasa.Ndo maana mnaona hata doggy style ni mbaya ila mnataka kuisifia kifo cha mende.
Acheni mambo ya kizamani tuacheni na usasa wetu.