kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,295
- 17,795
Sio kama nalalamika...
Dah!! Kuna kamtindo kamezuka humu ndani baadhi ya warembo kuzibana PM zao! Nimeongea na baadhi na wanadai wanakwepa usumbufu, sasa kwani kila usumbufu lazma muujibu?
Kuna michongo mingine positive ati, mtaikosa hivi hivi...
Ishu yakukwepa usumbufu msi itatue kwa kufunga PM check out then ignore...
Mnatunyima raha wazee wakushinda PM..
Dah!! Kuna kamtindo kamezuka humu ndani baadhi ya warembo kuzibana PM zao! Nimeongea na baadhi na wanadai wanakwepa usumbufu, sasa kwani kila usumbufu lazma muujibu?
Kuna michongo mingine positive ati, mtaikosa hivi hivi...
Ishu yakukwepa usumbufu msi itatue kwa kufunga PM check out then ignore...
Mnatunyima raha wazee wakushinda PM..