feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,807
- 12,677
Wakuu habari
Sina maneno ila leo wakati naangalia capital tv kuna kipindi cha afya nikawa naangalia walikua wanazungumzia virusi vya ukimwi. Daktari alikua anazungumzia hatua ilizopiga serikali katika kutoa huduma akatolea mfano wa kopo moja wa dawa za ARV ambazo tle(tenofivir,lamivudin na efavirenz) kuwa bei ya kopo moja ni milioni 24. Narudia bei ya kopo moja ni milioni 24 pesa taslimu za kitanzania.
Hapo nimepata picha ndo maana wakina Pompeo wanaweza kukuamrisha chochote na ukawa huna namna,ukithubutu tu kuwapinga wanakata kwa msaada wa watu wamarekani hapo ina fita ni fita mura. Tutakufa kama kuku,wakuu tujitahidi kujilinda na grid ya taifa maana kwa hiyo bei hakuna anayeweza kumudu ikitokea wamesitisha msaada.
Bado sijajua dawa zingine kama za tb nazo ni shilingi ngapi.
Sent using jamii forums mobile app
Sina maneno ila leo wakati naangalia capital tv kuna kipindi cha afya nikawa naangalia walikua wanazungumzia virusi vya ukimwi. Daktari alikua anazungumzia hatua ilizopiga serikali katika kutoa huduma akatolea mfano wa kopo moja wa dawa za ARV ambazo tle(tenofivir,lamivudin na efavirenz) kuwa bei ya kopo moja ni milioni 24. Narudia bei ya kopo moja ni milioni 24 pesa taslimu za kitanzania.
Hapo nimepata picha ndo maana wakina Pompeo wanaweza kukuamrisha chochote na ukawa huna namna,ukithubutu tu kuwapinga wanakata kwa msaada wa watu wamarekani hapo ina fita ni fita mura. Tutakufa kama kuku,wakuu tujitahidi kujilinda na grid ya taifa maana kwa hiyo bei hakuna anayeweza kumudu ikitokea wamesitisha msaada.
Bado sijajua dawa zingine kama za tb nazo ni shilingi ngapi.
Sent using jamii forums mobile app