ndegemzungu
Member
- Mar 10, 2019
- 92
- 240
Habari za humu wakuu, poleni na majukumh lakini tusichoke kumsaidi Rais kuipeleka nchi kwenye uchumi wa kati wa viwanda
Twende kwenye mada ni msichana wa mshkaji wetu flani hivi yaani haonekani kabsa kuwa wife material kwa maelezo ya mshkaji ingawa hata sisi tulilinote hilo mapema lakini tulimuacha mwana a-decide mwenyewe
Msichana anamashauzi kino, dharau ndio usiseme kwa mashemeji zake ambao ndio sisi, siku moja mwamba aliomba aazime gari yangu ampeleke bi mkubwa wake airport lakini akaniambia nikiwa namletea nimpitie mpenzi wake eneo alilonitajia niende naye nikafanya kama mwamba alivyonuomba. Sasa tukiwa njiani wese likakata kabla sijafika sheli shem akaanza maneno ya kidwanzi pale akampigia sim na mwamba akamwambia rafiki yako hajielewi kama hakuwa na pesa ya mafuta si angesema tumchangie.
Mimi nikashuka kwenye gari nikavuta bodaboda nikaenda kuchukua mafuta fasta nikarudi safari ikaendekea sasa shem njia nzima anamind ilibaki kidogo tu nimshushe sema kwa heshima ya mwamba nikamkaushia.
Mwamba anasema hawezi kumuoa huyo msichana hata iweje ingawa hajamuweka bayana ana pretend sana akiwa na bi mkubwa wa mwamba,
Wanawake msitudhara mashemeji zenu sisi ndio tunajua ukweli kama utaolewa au unapotezewa muda tu.
Twende kwenye mada ni msichana wa mshkaji wetu flani hivi yaani haonekani kabsa kuwa wife material kwa maelezo ya mshkaji ingawa hata sisi tulilinote hilo mapema lakini tulimuacha mwana a-decide mwenyewe
Msichana anamashauzi kino, dharau ndio usiseme kwa mashemeji zake ambao ndio sisi, siku moja mwamba aliomba aazime gari yangu ampeleke bi mkubwa wake airport lakini akaniambia nikiwa namletea nimpitie mpenzi wake eneo alilonitajia niende naye nikafanya kama mwamba alivyonuomba. Sasa tukiwa njiani wese likakata kabla sijafika sheli shem akaanza maneno ya kidwanzi pale akampigia sim na mwamba akamwambia rafiki yako hajielewi kama hakuwa na pesa ya mafuta si angesema tumchangie.
Mimi nikashuka kwenye gari nikavuta bodaboda nikaenda kuchukua mafuta fasta nikarudi safari ikaendekea sasa shem njia nzima anamind ilibaki kidogo tu nimshushe sema kwa heshima ya mwamba nikamkaushia.
Mwamba anasema hawezi kumuoa huyo msichana hata iweje ingawa hajamuweka bayana ana pretend sana akiwa na bi mkubwa wa mwamba,
Wanawake msitudhara mashemeji zenu sisi ndio tunajua ukweli kama utaolewa au unapotezewa muda tu.