Acha kujidanganya uchumba sio ndoa

Acha kujidanganya uchumba sio ndoa

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,800
Reaction score
3,261
NANI ALIYEKUAMBIA UCHUMBA NI NDOA..

Nawasalimu kwa jina la TOZO za jamuhuri Ya muungano wa Tanzania

Kuna mambo mengine hata kama sikuataka niseme yananibidi tu niseme. Hivi ni nani aliyesema kuwa swala akiwa mkubwa anaweza kumfikia ngamia? Hivi mbuyu unaweza ukawa mchicha? Hata kama wanasema mbuyu ulianza kama mchicha lakini hata siku moja mchicha hauwezi kuwa mbuyu.

Kila kitu kina wakati wake na nipaka yake lakini vijana wengi wa sasa wameshindwa kuzingatia hili. Unakuta binti yupo tu kwenye uhusiano wa awali na kijana wa kiume basi anajiachia kama vile kaolewa. Huku kijana naye anavyohangaika na kujitoa kama ndugu wa familia vile.

Tayari ameshaanza kwenda kwa kijana wa kiume, sijui kupika, kumfulia nguo na mbwembwe nyingine kibao. Dada Hivi hiyo ndoa ilifungwa lini? Lini umetolewa mahari? Mbona una kihelehele..!

Hata kama ni mapenzi siyo kwa namna hiyo, Kila jambo na wakati. Tena binti wa kipendwa kabisa unafanya mambo kama hayo? Mbona hayo ni maisha ya kipagani? Kwanin usifuate utaratibu? kwanin usisubiri wakati ufike?

Mara ooh, baba fulani, sijui mama fulani.. Mmmh, hao watoto mmezaa lini? Naona mnaota ndoto Za mchana mchana tena mkiwa macho. Tangu yule mpenzi wako wa kwanza uliyemuita baba fulani, sijui mama fulani mpaka huyu wa sasa uliyenaye, ukijumlisha hao watoto wakina fulani fulani utakuwa na watoto wangapi? Mbona unajizeesha kabla hujazeeka.!

Sasa bora hao wanaoishia kuitana tu hayo majina labda ndio ujana wenyewe na vionjo vyake. Lakini wapo wengine ambao wao wanakula tunda tena bila hata kunawa, hawana hata imekuwa ni tatizo, subira hakuna, wanajiendea tu kienyeji-enyeji.

Hivi hiyo miili haiwezi kutulia? Imepakwa upupu unaowasha? Ebu ufike wakati muwe na hofu ya MUNGU. Mnasema kama mimba mtatoa, UKIMWI mnasema eti Mbona sawa na Malaria, Je vipi hukumu ya dhambi mnayoifanya? Hivi mnafikiri Mungu ni mwanadamu au haoni hayo manayofanya? Ndugu kila unalofanya liwe jema au baya hakika UTAHUKUMIWA.

Sasa mambo yanakuwa mazuri pale wanapopigana chini, si majonzi hayo na kilio kisichoisha, Mara ooh umenisaliti, umenipotezea muda wangu, najuta kuwa na wewe. Hahahaha..! Ngoja nicheke, Hivi ni nani aliyekuambia Uchumba ni Ndoa? Ulijiachiaa mwenyewe ukadhani umefika, ukajiona umepaaata kumbe umepatikana.

Sasa unalia nini? Zile hubby, sweetie, laaziz zimeenda wapi? Ulikuwa unaota umejenga ghorofa angani wakati hauna hata kibanda. Unakumbuka ule msemo usemao kuwa Uyaone? Basi ndio hayo unayojionea Sasa.

"NADHANI SIKU NYINGINE UTAFAHAMU HATA SWALA UMKIMLISHA VIPI HAWEZI KUWA NGAMIA NA SIKIO HALIWEZI KUZIDI KICHWA".

KILA JAMBO NA WAKATI WAKE.. UCHUMBA SIO NDOA..!

Kama hujaelewa soma tena
 
NANI ALIYEKUAMBIA UCHUMBA NI NDOA..

Nawasalimu kwa jina la TOZO za jamuhuri Ya muungano wa Tanzania




Kama hujaelewa soma tena
Bora binti aende alikopanga kijana wa kiume. Siku hizi vijana wa kiume wanahamia alikopanga binti.
Yaani wanaolewa wao.
 
No
NANI ALIYEKUAMBIA UCHUMBA NI NDOA..

Nawasalimu kwa jina la TOZO za jamuhuri Ya muungano wa Tanzania

Kuna mambo mengine hata kama sikuataka niseme yananibidi tu niseme. Hivi ni nani aliyesema kuwa swala akiwa mkubwa anaweza kumfikia ngamia? Hivi mbuyu unaweza ukawa mchicha? Hata kama wanasema mbuyu ulianza kama mchicha lakini hata siku moja mchicha hauwezi kuwa mbuyu.

Kila kitu kina wakati wake na nipaka yake lakini vijana wengi wa sasa wameshindwa kuzingatia hili. Unakuta binti yupo tu kwenye uhusiano wa awali na kijana wa kiume basi anajiachia kama vile kaolewa. Huku kijana naye anavyohangaika na kujitoa kama ndugu wa familia vile.

Tayar ameshaanza kwenda kwa kijana wa kiume, sijui kupika, kumfulia nguo na mbwembwe nyingine kibao. Dada Hivi hiyo ndoa ilifungwa lini? Lini umetolewa mahari? Mbona una kihelehele..!

Hata kama ni mapenzi siyo kwa namna hiyo, Kila jambo na wakati. Tena binti wa kipendwa kabisa unafanya mambo kama hayo? Mbona hayo ni maisha ya kipagani? Kwanin usifuate utaratibu? kwanin usisubiri wakati ufike?

Mara ooh, baba fulani, sijui mama fulani.. Mmmh, hao watoto mmezaa lini? Naona mnaota ndoto Za mchana mchana tena mkiwa macho. Tangu yule mpenzi wako wa kwanza uliyemuita baba fulani, sijui mama fulani mpaka huyu wa sasa uliyenaye, ukijumlisha hao watoto wakina fulani fulani utakuwa na watoto wangapi? Mbona unajizeesha kabla hujazeeka.!

Sasa bora hao wanaoishia kuitana tu hayo majina labda ndio ujana wenyewe na vionjo vyake. Lakini wapo wengine ambao wao wanakula tunda tena bila hata kunawa, hawana hata imekuwa ni tatizo, subira hakuna, wanajiendea tu kienyeji-enyeji.

Hivi hiyo miili haiwezi kutulia? Imepakwa upupu unaowasha? Ebu ufike wakati muwe na hofu ya MUNGU. Mnasema kama mimba mtatoa, UKIMWI mnasema eti Mbona sawa na Malaria, Je vipi hukumu ya dhambi mnayoifanya? Hivi mnafikiri Mungu ni mwanadamu au haoni hayo manayofanya? Ndugu kila unalofanya liwe jema au baya hakika UTAHUKUMIWA.

Sasa mambo yanakuwa mazuri pale wanapopigana chini, si majonzi hayo na kilio kisichoisha, Mara ooh umenisaliti, umenipotezea muda wangu, najuta kuwa na wewe. Hahahaha..! Ngoja nicheke, Hivi ni nani aliyekuambia Uchumba ni Ndoa? Ulijiachiaa mwenyewe ukadhani umefika, ukajiona umepaaata kumbe umepatikana.

Sasa unalia nini? Zile hubby, sweetie, laaziz zimeenda wapi? Ulikuwa unaota umejenga ghorofa angani wakati hauna hata kibanda. Unakumbuka ule msemo usemao kuwa Uyaone? Basi ndio hayo unayojionea Sasa.

"NADHANI SIKU NYINGINE UTAFAHAMU HATA SWALA UMKIMLISHA VIPI HAWEZI KUWA NGAMIA NA SIKIO HALIWEZI KUZIDI KICHWA".

KILA JAMBO NA WAKATI WAKE.. UCHUMBA SIO NDOA..!


Kama hujaelewa soma tena
No comment!
👍🏾👍🏾👍🏾
Unawaharibia mabaharia 🏃🏾🏃🏾🏃🏾🚬🚬🚬
 
NANI ALIYEKUAMBIA UCHUMBA NI NDOA..

Nawasalimu kwa jina la TOZO za jamuhuri Ya muungano wa Tanzania

Kuna mambo mengine hata kama sikuataka niseme yananibidi tu niseme. Hivi ni nani aliyesema kuwa swala akiwa mkubwa anaweza kumfikia ngamia? Hivi mbuyu unaweza ukawa mchicha? Hata kama wanasema mbuyu ulianza kama mchicha lakini hata siku moja mchicha hauwezi kuwa mbuyu.

Kila kitu kina wakati wake na nipaka yake lakini vijana wengi wa sasa wameshindwa kuzingatia hili. Unakuta binti yupo tu kwenye uhusiano wa awali na kijana wa kiume basi anajiachia kama vile kaolewa. Huku kijana naye anavyohangaika na kujitoa kama ndugu wa familia vile.

Tayar ameshaanza kwenda kwa kijana wa kiume, sijui kupika, kumfulia nguo na mbwembwe nyingine kibao. Dada Hivi hiyo ndoa ilifungwa lini? Lini umetolewa mahari? Mbona una kihelehele..!

Hata kama ni mapenzi siyo kwa namna hiyo, Kila jambo na wakati. Tena binti wa kipendwa kabisa unafanya mambo kama hayo? Mbona hayo ni maisha ya kipagani? Kwanin usifuate utaratibu? kwanin usisubiri wakati ufike?

Mara ooh, baba fulani, sijui mama fulani.. Mmmh, hao watoto mmezaa lini? Naona mnaota ndoto Za mchana mchana tena mkiwa macho. Tangu yule mpenzi wako wa kwanza uliyemuita baba fulani, sijui mama fulani mpaka huyu wa sasa uliyenaye, ukijumlisha hao watoto wakina fulani fulani utakuwa na watoto wangapi? Mbona unajizeesha kabla hujazeeka.!

Sasa bora hao wanaoishia kuitana tu hayo majina labda ndio ujana wenyewe na vionjo vyake. Lakini wapo wengine ambao wao wanakula tunda tena bila hata kunawa, hawana hata imekuwa ni tatizo, subira hakuna, wanajiendea tu kienyeji-enyeji.

Hivi hiyo miili haiwezi kutulia? Imepakwa upupu unaowasha? Ebu ufike wakati muwe na hofu ya MUNGU. Mnasema kama mimba mtatoa, UKIMWI mnasema eti Mbona sawa na Malaria, Je vipi hukumu ya dhambi mnayoifanya? Hivi mnafikiri Mungu ni mwanadamu au haoni hayo manayofanya? Ndugu kila unalofanya liwe jema au baya hakika UTAHUKUMIWA.

Sasa mambo yanakuwa mazuri pale wanapopigana chini, si majonzi hayo na kilio kisichoisha, Mara ooh umenisaliti, umenipotezea muda wangu, najuta kuwa na wewe. Hahahaha..! Ngoja nicheke, Hivi ni nani aliyekuambia Uchumba ni Ndoa? Ulijiachiaa mwenyewe ukadhani umefika, ukajiona umepaaata kumbe umepatikana.

Sasa unalia nini? Zile hubby, sweetie, laaziz zimeenda wapi? Ulikuwa unaota umejenga ghorofa angani wakati hauna hata kibanda. Unakumbuka ule msemo usemao kuwa Uyaone? Basi ndio hayo unayojionea Sasa.

"NADHANI SIKU NYINGINE UTAFAHAMU HATA SWALA UMKIMLISHA VIPI HAWEZI KUWA NGAMIA NA SIKIO HALIWEZI KUZIDI KICHWA".

KILA JAMBO NA WAKATI WAKE.. UCHUMBA SIO NDOA..!


Kama hujaelewa soma tena
Kwa nini usianzishe kanisa angalau utapata sadaka?

Unajuwa maana ya mchumba au unabwabwaja tu?

Au goggle fiancee update tafsiri ya mchumba.
 
Kwa mini usianzishe kanisa angalau utapata sadaka?

Unajuwa maana ya mchumba au unabwabwaja tu?

Au goggle fiancee update tafsiri ya mchumba.
Relax
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ndoa ni gereza lililotengenezwa VIZURI Sana tena gereza la kifikra na wahusika wamefanikiwa sana coz idadi kubwa ya waafrica wanaliishi kana kwamba Maisha ni hilo hakuna jingine!!

WAZUNGU wakatengeneza mikataba KWENYE ndoa zao,waarabu wakatengeneza talaka na mitara waafrizlca hasa WAKRISTO wakatwishwa mizigo mzitonwa hakuna kuachana Hadi kufa!!

Hapo Ndipo tatizo lipo!mwishowe kuwahiana coz mahakamani usumbufu!coz inakuwaje mmetongozana wawili kuachana muhusishe Kundi la watu!!?
 
Ndoa ni gereza lililotengenezwa VIZURI Sana tena gereza la kifikra na wahusika wamefanikiwa sana coz idadi kubwa ya waafrica wanaliishi kana kwamba Maisha ni hilo hakuna jingine!!

WAZUNGU wakatengeneza mikataba KWENYE ndoa zao,waarabu wakatengeneza talaka na mitara waafrizlca hasa WAKRISTO wakatwishwa mizigo mzitonwa hakuna kuachana Hadi kufa!!

Hapo Ndipo tatizo lipo!mwishowe kuwahiana coz mahakamani usumbufu!coz inakuwaje mmetongozana wawili kuachana muhusishe Kundi la watu!!?
 
wambieni wale wenye tabia ya kujiozesha,mwaka tu ushaanza kumuona kama mume wako
 
Siku hizi malezi ni changamoto sana unaweza kuoa binti hajui kupika, mchafu, mvivu, kiburi, mzembe n.k. Pia binti anaweza kuolewa na kijana mwenye tabia za kike (Effeminate boy), mvivu, mwenye gubu, asiye na malengo wala maono n.k. sasa sijui kipi ni bora utest mitambo kwanza au ununue mbuzi kwenye gunia?.
 
Siku hizi malezi ni changamoto sana unaweza kuoa binti hajui kupika, mchafu, mvivu, kiburi, mzembe n.k. Pia binti anaweza kuolewa na kijana mwenye tabia za kike (Effeminate boy), mvivu, mwenye gubu, asiye na malengo wala maono n.k. sasa sijui kipi ni bora utest mitambo kwanza au ununue mbuzi kwenye gunia?.
 
Back
Top Bottom