Msuli wa mbu
Senior Member
- May 4, 2021
- 152
- 495
Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa naona vijana wenzangu wakiingiza mademu/Malaya kila uchwao kwenye mageto yao bila ya kujali watu waliowazunguka. Kiukweli ni image mbaya wanajijengea kwa jamii maana maneno yanasambazwa na kufikia hatua ya kuonyeshewa Vidole.
Kuingiza Demu sio kosa Wakuu, ila kuingiza mademu na kuwalala kwenye kitanda chako sio jambo zuri kijamii na kiakili. Unakuta kijana anaishi peke yake ila kila wikiendi anaingiza malaya ndani, na cha ajabu ni kwamba hafikirii wala kujali taswira yake kwenye jamii.
Nb. Maneno ya watu yana sambaa na yana nguvu sana, jizuie kuingia Malaya ndani ujenge taswira nzuri kwa jamii.
UZI TAYARI
Hiyo heshima inakusaidia nini?Tatizo watu ni wabishi Mkuu.
Heshima ni jambo la muhimu sana, ukijiharibia heshima kwa watu (UMEISHA).
Hao malaya wenyewe wanataka hela, sasa mtu ambaye mishe haziendi hela za kununua malaya atatoa wap?Job true true.
Sasa mbona huko majuaa wana nyanduna na malaya lakini naona vijana wao ndio wanazidi kufanikiwa. E u nielewesheni hapo.
NakaziaNilishakataa kumpeleka demu au Malaya gest wakati nachumba changu nimepanga nalipia. Huo ni ujinga kwenda lalia gest mashula yenye kunguni wa ufaransa na mashula yanayonuka shahawa Kama za mtoa post. Kila mtu na maisha yake naishi nitakavyo siangalii jamii itanionaje cause hawanilishi na hawaniveshi
Wewe ni punguani.Nilishakataa kumpeleka demu au Malaya gest wakati nachumba changu nimepanga nalipia. Huo ni ujinga kwenda lalia gest mashula yenye kunguni wa ufaransa na mashula yanayonuka shahawa Kama za mtoa post. Kila mtu na maisha yake naishi nitakavyo siangalii jamii itanionaje cause hawanilishi na hawaniveshi
Kama huna hela basi nenda kwenye madanguro Mkuu.Kuna malya na mademu mtoa post ujaspecify hapo kismingi ni mbaya sna kuleta malaya geto kwko ila shda sahv nayo ngum kujua nani nj malaya nani
sie maanaa kla mtu anauza kw staili yake ila mwnmke w heshma ambae unahs mnaeza kuw na malengo gest kumpeleka jau wakuu...
Ila vijana weng wkat bado wnajtafuta kuenda lipia gest wkat dem kausha dam kashamkausha naul ya kuja 5k -10k na nauli ya kuondokachukua10k na kuendlea atakula 5k hapo roughly kama 25k inakarbia kuisha bado akamplek gest ya bei chee atleast 10 mpka 15k kwhyo wakuu (40k )
for one night asee wakuu mnafnya kaz wp au sis vijana wngne n maskin sna kw mwendo huo tutafnya maendleo kwl???
Wakuu tuoneane huruma kidgo ela hatuna lakn bado mbususu tunaztka sio sisi ni mahitaji ya kibaiolojia
NB
Shida ni gharama hatumudu wakuu hata sisi atupendi tunaaminn tukioa tutahama mitaa tulioish basi
Alaf kumufurhsha kla mtu au jamii inayokuznguka no ndoto
Wakuu
Huwez mpndeza kla mtu
Utakuw mtu saf wanatkuja kukukopa majiran ukawakacha wanakuona mtu mvaya vilevle amna jema kw jamii muhm huingilii uhur wa mtu na maisha yake wla kumtukana usijichoshe
NAWASILISHA
Hawa watoto wa Farao siyo rahisi sana wakueleweWaingize manzi mmoja tu, hao wengine wasiwalete ghetto Mkuu.