Acha kuingiza Malaya ulipopanga

Uingize au usingize mademu geto lazima utakuwa topic kwao..., Majirani

Usipokuwa na utamaduni wa kuingiza mademu geto, pia watazani we Ni shoga pia.
 


Nisingejali image, maana kila mtu anaishi maisha anayotaka, ila ni kama kuleta laana kuleta Malaya ndani au tu kuwa na maisha yakulala nao hata guest.
 
Unazungumzia malaya au mademu bro......maana by definition ni vitu viwili tofauti. Unatukataza kipi kati ya ivyo
Kuingiza Wanawake tofauti kingono.

KAMA NI MMOJA HAINA SHIDA MKUU
 
Job true true.
Sasa mbona huko majuaa wana nyanduna na malaya lakini naona vijana wao ndio wanazidi kufanikiwa. E u nielewesheni hapo.
Hao malaya wenyewe wanataka hela, sasa mtu ambaye mishe haziendi hela za kununua malaya atatoa wap?
 
Muhimu uishi maisha yako; ukiangalia jamii, utaishi maisha ya kifungo ya kiunafiki.
 
Nakazia
 
Wewe ni punguani.
 
Kama huna hela basi nenda kwenye madanguro Mkuu.

Kuna mbususu mpka za 5000.
 
nyumba nimejenga mwenyewe halafu nipoteze hela kwenda gest?
kamachumba unalipa Kodi kwanini usiwe huru?mswahili ndiomana haiendelei kwuogopana nakuoneana aibu.
Kama upo kwako sawa.
 
Ntaacha labda kama walionizunguka ndo wanalipia Kodi ya chumba changu..au Binti ni mwenyeji wa hapo hapo kitaa..ila wabongo tumezid sana kufatilia mambo ya watu.ni zaidi ya CCTV camera
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…