Usibishe...
1. Serukamba (mb) na Lusinde (mb) ni ndugu coz wote wanatukana popote pale
2. JK na Vasco Dagama ni ndugu coz wote wameenda kila part ya dunia
3. Osama na Lwakatare ni ndugu coz watu wanatuhumiwa kuwa magaidi
4. Bi Kidude na Wassira (mb) ni ndugu (sijui kwa nini)
5. Bakressa na Abromovich ni ndugu coz wote wanamiliki team za mpira wa miguu
6. Maalim Seif na Lipumba ni ndugu coz wote wamegombea urais awamu 4 na wamekosa
7. Kinana na Rage ni ndugu coz wote ni wasomali
8. Tenga na Blatter ni ndugu coz wote ni marais wa vyama vya soka wanaolalamikiwa kutumia nyadhifa zao kwa manufaa yao badala ya soka
9. Ulimboka na Kibanda ni ndugu wote coz wote wamenyofolewa kucha na meno bila ganzi
10. Daktali wa vichaa na kichaa ni ndugu coz wote wapo Mirembe
1. Serukamba (mb) na Lusinde (mb) ni ndugu coz wote wanatukana popote pale
2. JK na Vasco Dagama ni ndugu coz wote wameenda kila part ya dunia
3. Osama na Lwakatare ni ndugu coz watu wanatuhumiwa kuwa magaidi
4. Bi Kidude na Wassira (mb) ni ndugu (sijui kwa nini)
5. Bakressa na Abromovich ni ndugu coz wote wanamiliki team za mpira wa miguu
6. Maalim Seif na Lipumba ni ndugu coz wote wamegombea urais awamu 4 na wamekosa
7. Kinana na Rage ni ndugu coz wote ni wasomali
8. Tenga na Blatter ni ndugu coz wote ni marais wa vyama vya soka wanaolalamikiwa kutumia nyadhifa zao kwa manufaa yao badala ya soka
9. Ulimboka na Kibanda ni ndugu wote coz wote wamenyofolewa kucha na meno bila ganzi
10. Daktali wa vichaa na kichaa ni ndugu coz wote wapo Mirembe